Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Sukuma gang wamekomeshwamkuu si mlishangilia kwa mbwembwe, vumilieni tu kawaongeza ili tozo mpya isiwapige sana
Na ninyi acheni kulalama kuna wengine hata laki mbili hapati kwa mwezi na matumizi yote hayo yanamtegemea ningekupa mfano binafsi ila utaniita motivation speakerHivi Elfu 20/mwezi unaipunguzia nini? Wafanyakazi wa Tanzania hawana hitaji lisilo la lazima, mshahara wenyewe hata wiki 2 hautoshi na hilo ni kula, pango, umeme, nauli labda na vocha, sasa hapo anapunguza nini ?
🙄 duhZimeshakua kazi za kutombanisha mijusi tu shit.
Ukiachana na wachache ambao ni wezi na wala rushwa waliobakia maisha ni magumu sana..Utumishi wa umma ni wito hiyo elfu 50 wengine haitoshi hata kulipia kingamuzi sijui mnalipaje bills zenu[emoji3064]
Burn ndo nini, acha upuuzi mlamu.Nimeshareport apigwe burn, asidhanie kila mtu muhuni humu
Na ninyi acheni kulalama kuna wengine hata laki mbili hapati kwa mwezi na matumizi yote hayo yanamtegemea ningekupa mfano binafsi ila utaniita motivation speaker
12800 Bora kutokuongezewaPoleni sana…
Watoto wa mama wa kambo tuko tu pale juani tumekaa
Wapuuzi wanaomtetea...!!!she is heartless!!!looooHiyo inaitwa SIASA[emoji1] na hapo kashachukua point vijana wa UVCCM walisema anaupiga mwingi
Wapo nnao wawili wameongezewa hvyooKuna watu wameongezewa 12,000 yaan elfu kumi na mbili...... kweli mama ameupiga mwingi.
Hahahah [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Zimeshakua kazi za kutombanisha mijusi tu shit.