Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kwa kupewa nyongeza ya mshahara ya ELFU ISHIRINI.Nimeshareport apigwe burn, asidhanie kila mtu muhuni humu
Hujawahi kutombanisha mijusi?[emoji849] duh
Utajua weweew!!!Acha kazi,kazi kulialia tu
Akili hazielewi...23.3 kima cha chini
Ni kiswahili kigumu au hesabu ngumu?
Jibu swali langu basi.Akili hazielewi
Logic ni kuwa, hiki anachosema amekiongeza mnagawana naye pasu kwa pasu kupitia hii tozo mpya ya miamala.Tutajua harujuhi,na kaongeza na tozo kwenye mihamara ya benk
[emoji38][emoji38][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23]Zimeshakua kazi za kutombanisha mijusi tu shit.
Mkeka umechanikaMara paap,, uchaguzi huu hapa
Mama mi5 tena
MbapuHii nchi ina watu wa ajabu sana!
Wakati wengine wanalilia waajiriwe wengine wanadharau nyongeza ya mshahara
Kumbuka kidogo kilichoongezwa ni kwa idadi kubwa ya watu na kitakuwa endelevu, kwa mwaka mzima kitakuwa ni kiasi kingi kimeongezeka kwenye bajeti ya serikali
We unanifundisha heshima kama nani? Napost nachojisikia na hakuna kitu chochote utafanya.Kichwa kama tozo wewe.Sawa ila uwe na heshima katika maneno yako
23%Tupe hesabu ya kima cha chini basi.
mkwereeeeeeeeeeeeeeeeeenani yupo nyuma ya haya yote?
Vibaya hivyo ulimchukia Jiwe na samia pia?[emoji2]Samia nimekuchukia sana,
Ndo shing ngapi!?
Kamwe aliyeshiba hamjui mwenye njaa. Pamoja na sifa na tambo zote walizofanya serikali kuhusu kuongeza mishahara wameishia kuongeza elfu 20,000?
Ikiwa ni muda mchache toka bank ya NMB kunipa notification ya mshahara kuingia