Dodoma leo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 1,336
- 1,658
Bado hajakatwa Loan boardDaktari anayeanza kazi basic ni TSH 1.3mil , take home 900+K...!!! Sema kuna viposho posho Kwa walio chini ya wizara ya Afya.... Maisha ni magumu Sana bado Kwa hawa watu, huwa wanakimbilia kwenye mikopo ya magar kuficha aibu...nazungumzia MD sio CEO au tabibu
Simply put, theoretically ni mashirika yanayozalisha pesa/business regardless na vitabu vya wahasibu na CAG kuhusu kupata hasara, hata MD wa international organization au corporate analipwa pakubwa sana compared na wa huko local government.TANESCO, ATCL ni mashirika yanayoongoza kwa huduma mbovu na hasara lakini mtu mwenye
diploma huyo MD haoni ndani
Alishindana wapi na kina nani mpaka akatangazwa kua ni Bingwa?Specialist ndio bingwa.
Dah unaumiza kweli.Usiwadanganye mkuu hii kozi amesoma hayati Kiombo akaishia kuwa mwalimu fedha na tuition yake,
Kuna vijana wengine wawili waliajiriwa kule mtwara alipoingia Magufuli project ikaisha mmoja alienda
kuomba kufundisha tuition kwa maiko mwingine aliinvest vizuri mafao yake ya 200mil.
Juzi hapa kuna kijana alikuwa second year kutafta field tabu sasa amebadili anasoma teaching.
Hao wote walikuwa na one za tatu, nne pcm
We bado mtoto kwenye ulimwengu wa uendeshaji wa makampuni.Mkuu nilikuwa najua unaakili kumbe zero brain!?
Ushaona wapi kampuni inatanganza hasara kila mwaka ya mabilioni lakini
wafanya kazi wake wanaongoza kwa mishahara!?
Duka lako kila siku lina pata hasara lakini mfanyakazi wako anajiipa mamilioni!?
wewe uko kwenye kundi la bureaucratic capitalist kama madelu na sio
real capitalist
Kwani hospital ina mfanyakazi mmoja tu kumbuka kuna wafanyakazi wengine, gharama za bills, kodi etc then faida ipatikane pia.50x20,000 hii ni milioni, kwa siku 30 ni milioni 30. Ni pesa ndefu Sana kuingizwa na mtu mmoja.
Yes CO ( Clinical officer)CEO?
Au una maanisha CO?
Unadhani lingekuwa shirika binafsi linapata hasara lingeendelea au lingefungwa!?Simply put, theoretically ni mashirika yanayozalisha pesa/business regardless na vitabu vya wahasibu na CAG kuhusu kupata hasara, hata MD wa international organization au corporate analipwa pakubwa sana compared na wa huko local government.
Wewe ni mbulula ushawahi kuona kampuni ya private inajiendesha kwa hasaraWe bado mtoto kwenye ulimwengu wa uendeshaji wa makampuni.
Kwa kifupi, hiyo hasara inatokana na vitu vingi mfano kuna madeni mengi ya nyuma (refer Rais Samia speech)
Pia, hasara inapigiwa hesabu baada ya kulipa gharama zote including mishahara.
nakubaliana nawewe....sema tukiweka matibabu yawe bei ya juu ndugu zetu watatumia miti shambaHii ndio point kubwa kuliko zote.
Kwa kigezo kipi?
Zuwena MD, from Diamond Utumishi.USD 705.
Ndio ni risky, imagine. Outbreak ya ebola, COVID wakwanza kuumwa nani? HIV, watu wanajichoma na kumwagikiwa na damu kila kukicha. Kupigwa na vichaa Etc etc, kazi ta kudeal na watu ni ngumu na bado lawama kila mtu ana expect hao watu wawadekeze au wafanye kama wito, something is not right. Kuna mentality sio sahihi. Nilikataa huo ujinga muda sana.Kwani kazi za risk ni za afya pekee?
Watu wa afya mnajikutaga spesho sana.
Kumbuka MD alipitia form 5/6 baada ya kupasua fomfoo.
DaktariHivi daktari na mwalimu Nani ni zaidi?
TRA ngazi ya diploma anaanzia 1.8mTGHS E. Sawa na 1.5M basic bila makato. Apo sio wale wanaofanya kwenye hosptal zinazoniendesha kama taasisi.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nina mtoto Ni policcm na binti takitari.
Acha uongo, Chicago ni jiji katima jimbo la Illinois, na Pennsylvania ni jimbo mji mkuu Philadelphia. Japo ni kweli minimum wage ya 32$ per hour ipo kwa watu hasa wafanyakazi wa afya ngazi ya chini.Huku Chicago (penslinavia).
Phlebotomist (mdunga sindano) analipwa USD32/ day na miposho mingi.
Hapo Tanzania mnakwama wapi.