MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Watu hawana muda wa kupoteza. Ila kwa mimi naona ukiwa waziri bongo ndo utapiga noti ndefu zaidi. Waziri wa fedha, nishati, madini, ujenzi, kilimo, uchukuzi au uvuvi lazima awe milionea.Naona wadau washaanza kumsogelea na mshahara wake π
Ova
Nadhani alimaanisha kwamwezi300m kwa mwaka na 50m kwa mwaka ipi kubwa?
Soma Vizuri Mkuu300m kwa mwaka na 50m kwa mwaka ipi kubwa?
Ah kabisaWatu hawana muda wa kupoteza. Ila kwa mimi naona ukiwa waziri bongo ndo utapiga noti ndefu zaidi. Waziri wa fedha, nishati, madini, ujenzi, kilimo, uchukuzi au uvuvi lazima awe milionea.
Habari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
View attachment 3086548
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
kwan analipwa na jamuhuri ya muungano?Mishahara ya Tanzania ni midogo tu.
ndugu ulaya hawalipi posho ispokuwa unaenda semina au mkutqno unakuta wameshalipa kila kituSi kweli. Ana mshahara wake. Nje ya posho na fungu maalum. Hata huyo Ndugulile Kuna posho nyingi nje ya hio $137k.
Hapana.kwan analipwa na jamuhuri ya muungano?
kiduchu sanaNi sawa na takribani 30m kwa mwezi.
Huwa nikikumbuka tumbua tumbua ya Magu huwa najiuliza kwanini alimtumbuaga huyu Dr. Ndugulileπ€
Si kweli. Ana mshahara wake. Nje ya posho na fungu maalum. Hata huyo Ndugulile Kuna posho nyingi nje ya hio $137k.Kapu si analo yeye anachota tu.
Aisee. Okay.ndugu ulaya hawalipi posho ispokuwa unaenda semina au mkutqno unakuta wameshalipa kila kitu
Kama kuna kitu cha kuachana nacho basi ni WATANZANIA,...kwa ufupi hiyo pesa ni ya kawaida,...Milioni 360 kwa mwaka ni hela ndogo mkuu? Watanzania wangapi unaowajua wanaingiza hiyo hela?
Wewe rudi kasome post yangu yenye quote yake. Kafanya editing baada ya mimi kumuonesha hilo kosa.Soma Vizuri Mkuu
Kuna kijana anang'ara huko duniani kwa kumiliki kampuni ya miamalaNani huyo asee?
1. Una uhakika Waziri mkuu wa India analipwa 14M /mwezi?Habari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
View attachment 3086548
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?