Mnapoongelea value/thamani msiwe na vitabia vya kujilinganisha na umasikini. Nyie ndo mnaenda kuburgain mikataba mnasaini bilioni moja kwa mkataba wa trillion 2 au 3 kisa umeona watanzania hawana hata milioni mia. Tokeni kwenye poverty traumaMilioni 360 kwa mwaka ni hela ndogo mkuu? Watanzania wangapi unaowajua wanaingiza hiyo hela?
Hiyo ni kama 30m kwa mwezi. Siyo haba. Ila akiwa Regional Director ana njia nyingi za kusunda maokoto ya ziadaMilioni 360 kwa mwaka ni hela ndogo mkuu? Watanzania wangapi unaowajua wanaingiza hiyo hela?
Kuna mtu kapinga mafanikio yake? Uwe unasoma comment bila hisia.Wabongo bwana, as if ww unayo kumbe hamna kitu. Sometimes kubalini mafanikio ya mtu haina haya ya ku downplay
Umeongea point sana. Wabongo tuache kujidharau.Mnapoongelea value/thamani msiwe na vitabia vya kujilinganisha na umasikini. Nyie ndo mnaenda kuburgain mikataba mnasaini bilioni moja kwa mkataba wa trillion 2 au 3 kisa umeona watanzania hawana hata milioni mia. Tokeni kwenye poverty trauma
Sisi tunataka ainue watanzania waingie huko WHO wa kutosha na siyo mshahara wakeHabari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Hmm….wapo Watanzania wengi wanaolipwa zaidi ya $130,000K kwa mwaka?Wapo waTanzania wengi wanao lipwa pesa zaidi ya hiyo mzee.
Sema nini......
Bado haujapata exposure
Mama ushungi unamaanisha Chra kiziwi?Shangaa India ambaye ni Giant kiuchumi mkuu wake wa nchi ameachwa mbali sana mara mbili na ushee ila niamini mimi Hiyo pesa bado ndogo sana kwa mzigo anauchukua mama ushungi.
Ni makasiriko kwa kweliHabari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
364m@yr ni hela kidogo tu hiyo boss, ingekuwa ni kwa mwenzi hapo sawa.Habari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Gross salary ya TSH 360 million kwa mwaka ni sawa na TSH 30 million kwa mwezi, baada ya kodi (net pay) ni chini ya hapo. Kiasi hicho hata baadhi ya wacheza mpira wa timu kama za Yanga na Simba wanamzidi. Wakurugenzi wakuu wa baadhi ya mashirika yetu ya umma hususani tanesco walikuwa wanapata hadi 40 million kwa mwezi, JPM akadhamiria kuzishusha, haijulikani kama alifanikiwa.Milioni 360 kwa mwaka ni hela ndogo mkuu? Watanzania wangapi unaowajua wanaingiza hiyo hela?
Hata kwa nje, si hela ndogo hiyo.Ndogo sana kwa mujibu wa takwimu za ndani ya nchi au nje ya nchi?
Kama ni ndani ya nchi tusidanganyane, sio ndogo.
Shida ni fedha za wizi zisizokuwa na amani yeyote. Unajenga nyumba unaandika Jina la dada yako. Ovyo kabisa!Milioni 360 kwa mwaka ni hela ndogo mkuu? Watanzania wangapi unaowajua wanaingiza hiyo hela?
Halafu huko UN hakuna 10% na kudokoadokoa pesa za Wadanganyika kama huku Kigamboni.Kwa mwaka mbona sasa ni hela ndogo.
Huo ni mshara wa mchezaji wa mpira wa ulaya wa kiwango cha kawaida kwa week moja
Huku wanajilipa kutokana na nafasi ukisubiri kulipwa subiri.Hmm….wapo Watanzania wengi wanaolipwa zaidi ya $130,000K kwa mwaka?
Wako wapi hao Watanzania?
Kuona kwamba hiyo hela ni ndogo haimaanishi kuwa watu ni matajiri.Watu kumbe wana helaaa humu JF...
Mkuu aliyeleta taharuki ni mleta mada kwa jinsi alivyochagiza 😂😂Hata kwa nje, si hela ndogo hiyo.
Wastani wa kipato cha Wamarekani hakifiki hata $100,000.00 kwa mwaka.
Mshahara wa $11,000.00 kwa mwezi si mdogo, ingawa si mkubwa kivile.
Anayeingiziwa nyingi Tanzania ni Rais ambaye akishaingiziwa anaanza kutoa kwenye miradi mbali mbali katika nchi.Habari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?
Wastani wa 1M kwa siku ,pesa mdogo sana,sema posho na marupurupuHabari za asubuhi wanajamvi
Leo asubuhi nikiwa nafanya jogging zangu mbili tatu huko mtandaoni nikakutana na hii document kutoka kwenye website ya shirika la WHO ikiainisha mishahara ya wafanyakazi wake
Nadhani by now, kila mtu atakuwa anafahamu kuwa Dkt Faustine Ndugulile amechaguliwa kuwa Regional Director wa WHO hapa barani Afrika.
Soma pia: Dkt Faustine Ndugulile ashinda kinyang'anyiro cha ukurugenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika
Sasa kubwa ni kuwa Ndugulile akiwa pale WHO atakuwa analipwa US$ 134 266 sawa na Tshs Milioni 364 kwa mwaka, kiasi ambacho hata Waziri Mkuu wa India haingizi kwa mwaka kwani waziri mkuu wa wa India anaingiza takribani USD 66,000 kwa mwaka accroding to Wikipedia na mtandao wa Jagranjosh.
Vipi wewe Mtanzania mwenzangu unaingiza kiasi gani kwa mwaka mzima?