Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Kwa taarifa nilizopata ni kwamba, mwezi huu serikali haina hela kwahiyo malipo ya mshahara tegemeeni kuanzia tar 25 na kuendelea baada ya serikali kuwa imekusanyakusanya
 
Hebu niekeze mkuu ikiwezeknq hata mwka huu aanze
Oh.. kwa upande wa Tz hapa it's better kwenda hapo TPTC then wanakupa utaratibu wao kulingana na standards zao..

Ni Terminal 1 hapo.. JNIA. ukiw unaingia ni upande wa kulia utaona majengo.. ni pemben ya NIT Flying Academy.

Ukizoom picha vzr upande wa kulia zimefatana flying academies..
 
😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…