Aaah dah mkuu unassema kweli ?Taarifa kutoka TUCTA
Ndugu wafanyakazi napenda kuwataarifu kwamba kuanzia mwezi huu mishahara itakua ikitoka tarehe za mwisho wa mwezi yaani tarehe 28-30. Lengo la kufanya hivyo ni kuondoa gap lililopo kati ya tarehe za mishahara wa sektabinafsi na sekta za Umma. Mwenyekiti wa TUCTA kasema hayo leo wakati akipongeza kuongezeka kwa asilimia ya Kikokotoo kutoka asilimia 33 mpaka 40.
Tuchague kuipuuza hii taarifa.Aaah dah mkuu unassema kweli ?
Mfano ni mimi.. hapa nina kipengele cha kama 6m natakiw nikisolve😅 yaan posho ndio itaamua hatma ya Maisha yangu hii July..Kuna wengine mshahara ushaisha kabla hata haujaingia Kwa account Kwa bills
We kishua mzeeMfano ni mimi.. hapa nina kipengele cha kama 6m natakiw nikisolve😅 yaan posho ndio itaamua hatma ya Maisha yangu hii July..
Kwani mbali na urubani hakuna tofauti na hiyo kwenye sekta hiyo ambayo ni nzuri na ni payable?Haina shida hata huko O level anawez tumia matokeo hayo..
Kwanza Marubani wengi hawana hata A level.. wengine waliosoma chuo kikuu wachache sana...
Usiwe na wasi.
Hauko peke yako Mkuu it happens sometimesMfano ni mimi.. hapa nina kipengele cha kama 6m natakiw nikisolve😅 yaan posho ndio itaamua hatma ya Maisha yangu hii July..
MadarajaHuu uzi mbona unatembea sana kuna nini kimeufukua kutoka maktaba?
Haina hela wapi wakati juzi tu muamala wa Korea Kusini umesoma, na miamala ya gawio la mashirika ikajazia juuKwa taarifa nilizopata ni kwamba, mwezi huu serikali haina hela kwahiyo malipo ya mshahara tegemeeni kuanzia tar 25 na kuendelea baada ya serikali kuwa imekusanyakusanya
Hahahaha Uzi wa msimu huuHuu uzi mbona unatembea sana kuna nini kimeufukua kutoka maktaba?
Hamna mshahara wote badoSijawekewa mshahara mpaka muda huu.
Sijui kwa vile nilikua sijazi PEPMIS activities kwa wakati.
Hii sekta ina fursa nyingi..Kwani mbali na urubani hakuna tofauti na hiyo kwenye sekta hiyo ambayo ni nzuri na ni payable?
Tuwaandae vijana wetu
Vipi kuhusu engineer huyu mtu wa matengenezo fursa zake zikoje katika sekta huyo
Nafikiri NIT wanayo hii ya ENGENEERING
Je hii flight operations officer imekaajeHii sekta ina fursa nyingi..
Mfano Engineers wamegawanyik ktk makundi mengi ila nitagusia mawili.
ANE na hao AE
sasa kibongo bongo ANE soko lao lipo Serikalini sana maana mifumo mingi kuanzia ya Radar ni ya Serikali pia na mitambo ya Sauti ya umbali kama vile VHF madude ya Automation kama ILS etc
Hao AE soko lao lipo both but sekta binafs ndio kuna ndege nyingi.. na wanahitajika sana, mfano mwaka juzi kama sikosei kuna usahili wa kupew scholarship ya kwenda kuwaandaa hao Engineers ili waje waisaidie Sekta ya Anga hapa nchini. Na iliratibiw na TCAA.
Pia watu kama wa ATMO, AIO pia ni marketable kwa pande zote Serikali kuu na Jeshini pia.. ila sekta binafsi si sana.
Flight dispatcher..
Ground Ops
Airport Operations
Aircraft Operations
Cabin Crew.. (Precision wanamtindo wa kuajiri wanafunzi wao ktk chuo chao watakao fanya vzr zaidi).
Pia kuna ishu ya Ticketing/Booking hapa ukiw na kampun nzr na mtaji mzr basi umeula..
Na pia Urubani wa Parachute unalipa..
Sahiv pia Dunia inaenda ktk transition ya Drone..
Urubani wake pia unamalipo mazuri sana sana, pia ninayo license yake so narusha MANNED Aircraft na UNMMANED Aircraft au kitaalam
Unmanned Aerial Vehicles na Manned Aerial Vehicles.
Na upande wa UAV's nafanya Missions za BVLOS kwa umbali wa kilometers hata 500.
So hii sekta ina fursa nyingi ni ww kuangalia capacity yako unaweza kipi. Hatua moja inainua hatua nyingine au fursa nyingine..
Safi sana kuna fursa sema ada zimesismama sana watu wanashindwa kumuduHii sekta ina fursa nyingi..
Mfano Engineers wamegawanyik ktk makundi mengi ila nitagusia mawili.
ANE na hao AE
sasa kibongo bongo ANE soko lao lipo Serikalini sana maana mifumo mingi kuanzia ya Radar ni ya Serikali pia na mitambo ya Sauti ya umbali kama vile VHF madude ya Automation kama ILS etc
Hao AE soko lao lipo both but sekta binafs ndio kuna ndege nyingi.. na wanahitajika sana, mfano mwaka juzi kama sikosei kuna usahili wa kupew scholarship ya kwenda kuwaandaa hao Engineers ili waje waisaidie Sekta ya Anga hapa nchini. Na iliratibiw na TCAA.
Pia watu kama wa ATMO, AIO pia ni marketable kwa pande zote Serikali kuu na Jeshini pia.. ila sekta binafsi si sana.
Flight dispatcher..
Ground Ops
Airport Operations
Aircraft Operations
Cabin Crew.. (Precision wanamtindo wa kuajiri wanafunzi wao ktk chuo chao watakao fanya vzr zaidi).
Pia kuna ishu ya Ticketing/Booking hapa ukiw na kampun nzr na mtaji mzr basi umeula..
Na pia Urubani wa Parachute unalipa..
Sahiv pia Dunia inaenda ktk transition ya Drone..
Urubani wake pia unamalipo mazuri sana sana, pia ninayo license yake so narusha MANNED Aircraft na UNMMANED Aircraft au kitaalam
Unmanned Aerial Vehicles na Manned Aerial Vehicles.
Na upande wa UAV's nafanya Missions za BVLOS kwa umbali wa kilometers hata 500.
So hii sekta ina fursa nyingi ni ww kuangalia capacity yako unaweza kipi. Hatua moja inainua hatua nyingine au fursa nyingine..
Hii course navyokumbuk ni kama wiki 16 hivi..Je hii flight operations officer imekaaje
Ni kwelii hakuna Ada ya chini ya 1m.. pia masomo yake kama una kichwa panzi hutoboi niseme ukweli.Safi sana kuna fursa sema ada zimesismama sana watu wanashindwa kumudu