Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mbona sisi idara yetu tumekwisha letewa slipu na tayari zimeingia benki.
 
Hao ma DED na ma HRO unajua walivyo miungu watu kwa walimu? kuna mahala wanafikia kuwambia walimu wavue viatu wanapoingia maofisini mwao! watumishi wa kada za chini wanapitia mengi sana toka kwa hao mabosi wao
 
Ngoma itakua kesho iyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…