Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mishahara ishatoka tayari 100% me nimejua hivyo baada ya kuangalia via ESS nimeona deni langu limepungau😁
Pia hakuna ongezeko lolote lile labda ni Kwa waliopanda madaraja
Mkuu, leo mbona umeanza uwongo. Hauwagi hivi kabisa.
 
Nijulisheni wakuu niende mjini saa hii
mkuu upo wolaya gan atm mapaka uende mjin? unanikumbusha siku moja nimeingiq songea mjin sina hela nikasema acha nisogee sehem yenye atm ya nmb kutembea tembea naibukia maeneo kuna tanesko hiv sasa nilikuta folen nadhan mapaka sokon nikasema leo kifo.tarehe ndio hizi hizi.walimu hawana kaz mbovu
 
mkuu upo wolaya gan atm mapaka uende mjin? unanikumbusha siku moja nimeingiq songea mjin sina hela nikasema acha nisogee sehem yenye atm ya nmb kutembea tembea naibukia maeneo kuna tanesko hiv sasa nilikuta folen nadhan mapaka sokon nikasema leo kifo.tarehe ndio hizi hizi.walimu hawana kaz mbovu
Napajua hapo mitaa ya Leejay49 .. Hahaha siku hizi Wakala imesaidia sana..
 
Back
Top Bottom