Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unasombaga yote? Hahaha Mkuu 🙌CRDB bado? View attachment 3050076
Na bado wananidai AdvanceUnasombaga yote? Hahaha Mkuu 🙌
Ebhana mzee hama taasisi uko uliko njaa.Na bado wananidai Advance
Hata Mimi hua nazoa zote kuepuka kuibiwaUnasombaga yote? Hahaha Mkuu 🙌
Ulichosema ni kweli. Kuna wachache hapa wanatusua. Yaan mi sio mteule hapa ngoja nijiongeze.Ebhana mzee hama taasisi uko uliko njaa.
Kaka mie niliko posho ya kila mwezi kwa ajili ya kodi na chakula ni 700K na ni fixed apo mbali ima mshahara na posho za vokal.Ulichosema ni kweli. Kuna wachache hapa wanatusua. Yaan mi sio mteule hapa ngoja nijiongeze.
Loh acha bhanaHata Mimi hua nazoa zote kuepuka kuibiwa
Mnapewa mpaka posho ya chakula mnaenjoy balaa!Kaka mie niliko posho ya kila mwezi kwa ajili ya kodi na chakula ni 700K na ni fixed apo mbali ima mshahara na posho za vokal.
Nachofahamu ni kama taasisi inaingiza hela nyingi mnaweza kujipangia posho za kila mwezi na taasisi nyingi zinafanya ivo.Mnapewa mpaka posho ya chakula mnaenjoy balaa!
Yetu ina wachawi kibao!Nachofahamu ni kama taasisi inaingiza hela nyingi mnaweza kujipangia posho za kila mwezi na taasisi nyingi zinafanya ivo.
Benki nyingine vpNaona CRDB mpaka sasa ni bila bila
muonggo wewe . wenye uzi wanakucheki tu[emoji91]teyar
Wanadai CRDB salary slip tayari zinasoma, ila benki badomuonggo wewe . wenye uzi wanakucheki tu
Jamaa yangu kaniambia ameona ongezeko la 120K kwenye salary slip yakeYetu ina wachawi kibao!