Mkuu, leo mbona umeanza uwongo. Hauwagi hivi kabisa.Mishahara ishatoka tayari 100% me nimejua hivyo baada ya kuangalia via ESS nimeona deni langu limepungau😁
Pia hakuna ongezeko lolote lile labda ni Kwa waliopanda madaraja
Ukitoka Mods wanaufunga. No further replies.Tunawazoom kwa mbalii ukitoka tu na sisi tunapotea
mkuu upo wolaya gan atm mapaka uende mjin? unanikumbusha siku moja nimeingiq songea mjin sina hela nikasema acha nisogee sehem yenye atm ya nmb kutembea tembea naibukia maeneo kuna tanesko hiv sasa nilikuta folen nadhan mapaka sokon nikasema leo kifo.tarehe ndio hizi hizi.walimu hawana kaz mbovuNijulisheni wakuu niende mjini saa hii
Napajua hapo mitaa ya Leejay49 .. Hahaha siku hizi Wakala imesaidia sana..mkuu upo wolaya gan atm mapaka uende mjin? unanikumbusha siku moja nimeingiq songea mjin sina hela nikasema acha nisogee sehem yenye atm ya nmb kutembea tembea naibukia maeneo kuna tanesko hiv sasa nilikuta folen nadhan mapaka sokon nikasema leo kifo.tarehe ndio hizi hizi.walimu hawana kaz mbovu
oya we mdau ni mtumish ila uanpenda magari. ni dereva au upo temesa?Ilibidi leo iwe tayari, Ijumaa hatutakiwi kuwepo kwenye huu uzi
mliomba?Vipi wale wanaosubiria change of scheme of service
Dah umetisha.. Usikute uwa tunakutana GPSA kwenye mafuta..oya we mdau ni mtumish ila uanpenda magari. ni dereva au upo temesa?
Kwenye hao 20 na ww upo, sio macho TU mpaka makamasi yanakutoka.20 people are here chaajabu hawa comment macho yamewatoka kama fundi saa kapoteza nati. Njaa mbaya aisee
hili jina mtaalamu maana yake unaijua?Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
HUU UZI NAUPENDA KINOMA. HUU UZI NI MZURI KUMER MAE
Bodi Mzee😁D
Deni la benk au Loan board
Unadhan hata nimepata meseji ya hela mkuu, bado nasubiri hapa kama ww.. Jua Kali sana hapa mjini na hela hatuna mifukoniMkuu, leo mbona umeanza uwongo. Hauwagi hivi kabisa.
Mbona sielewi, kuna watu wanadai mshahara wa January ?Huu uzi hizi ndo tarehee zakee🤣🤣🤣🤣🤣 Mwezi huu sirikali ina mambo mengi tuvumiluane wapendwaa
😂😂😂😂😂😂😂Ilibidi leo iwe tayari, Ijumaa hatutakiwi kuwepo kwenye huu uzi