Bank gani[emoji91]teyar
Na miaka ijayoNi vile tu mods wamekataa kuumodify huu uzi ila bonge moja la idea mr pipa alianzisha na sisi tunaenda nao hiv hivi hadi January nyingine.
Acha kabisa wanaogopa kutia neno. 😂😂😂Watu wanachungulia hafu wanasepa.
Usijali rafiki wa mie. 🤝
MmeongezewaUku kwetu tayari
NmbBank gani
Lol.Mmeongezewa
😂😂😂 tunakutana tena tarehe 21 next month.Tunawazoom kwa mbalii ukitoka tu na sisi tunapotea
Vp kuna ongezeko au ilikua danganya toto
Hafu hawasemi kitu..19 plus me 20 people are here...
Kati ya hawa watu 20, 19 ni Waalimu.
🤣🤣🤣Unadhan hata nimepata meseji ya hela mkuu, bado nasubiri hapa kama ww.. Jua Kali sana hapa mjini na hela hatuna mifukoni
Uzi wa msimu..Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
HUU UZI NAUPENDA KINOMA. HUU UZI NI MZURI KUMER MAE
Wacha tusubiri tuone..Hafu hawasemi kitu..