Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Kwahiyo?Utakuta mtu ana miaka 10 kwenye ajira lakini mshahara ukichelewa siku moja tu analalamika kweli tuna safari ndefu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo?Utakuta mtu ana miaka 10 kwenye ajira lakini mshahara ukichelewa siku moja tu analalamika kweli tuna safari ndefu.
Wakati mwingine, mfano mwezi uliopita Desemba 2023, niliipata slip tarehe 23/12/2023 ila salary nikapata kesho yake tarehe 24/12/2023Hizi slips zinatoka mapema kabla ya salary
Kuna cha ajabu hapo? Kujua haki zako ni ishara ya kujitambua. Wewe kaa kimya uendelee kuburuzwaUtakuta mtu ana miaka 10 kwenye ajira lakini mshahara ukichelewa siku moja tu analalamika kweli tuna safari ndefu.
Halafu hii sijaipatia kwenye salary slip portal, bali kwenye Employee Self Service (ESS)Hizi slips zinatoka mapema kabla ya salary
Habari kiongozi, nkijisajili inaniletea error na maneno ya kwamba check number iko tayari registered wakati bado na ata nkienda kwenye forgot password inaniambia check number haiko validHalafu hii sijaipatia kwenye salary slip portal, bali kwenye Employee Self Service (ESS)
View attachment 2880517
Njoo inboxHabari kiongozi, nkijisajili inaniletea error na maneno ya kwamba check number iko tayari registered wakati bado na ata nkienda kwenye forgot password inaniambia check number haiko valid
Nishakuja naona kimyaNjoo inbox
Huko ofisini kwako wamekusajilia. Kuna ofisi ma hr hawana kazi wanafanya hata kazi zisizowahusu. Waambie wakupe passwordHabari kiongozi, nkijisajili inaniletea error na maneno ya kwamba check number iko tayari registered wakati bado na ata nkienda kwenye forgot password inaniambia check number haiko valid
NOOOOHakuna umasikini na laana mbaya kwenye maisha kama kuishi kwa kutegemea mshahara tu. Ni utumwa wa kisasa ambao ukichelewa kuustukia unakuwa katika hali mbaya sana baadae.
fanya betting mkuu,Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
Inawezekana kuna mtu alijisajili kabla yako ka kutumia check number yako, na possibly kwa kutumia National ID yako. Bahati mbaya hizo details mbili (check number na NIDA) huwa sio siri, anayetaka kuzipata za mwingine anaweza tu akazipata na akazitumia kwa lengo ovu. Nashauri uende kwa mwajiri wako (HR Officer), wamepewa privilege ya kubadilisha profile information, so atareset password halafu akupe hiyo ya kuanzia. From there account itakuwa chini ya control yako, na huyo aliyeregister hataweza kuloginHabari kiongozi, nkijisajili inaniletea error na maneno ya kwamba check number iko tayari registered wakati bado na ata nkienda kwenye forgot password inaniambia check number haiko valid
Hawataki kugeuza mshahara mtaji ila wamegeuza kuwa mshahara ni nguzo ya kukupea kwa mangiHakuna umasikini na laana mbaya kwenye maisha kama kuishi kwa kutegemea mshahara tu. Ni utumwa wa kisasa ambao ukichelewa kuustukia unakuwa katika hali mbaya sana baadae.
Serikali imefeli ,inawalipa watu ambao kazi yao ni kuzima umeme nchinimshahara upi mkuu
sisi tanesco mbona tayari
Hongera Mtani.Wakati mwingine, mfano mwezi uliopita Desemba 2023, niliipata slip tarehe 23/12/2023 ila salary nikapata kesho yake tarehe 24/12/2023