Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiwaonee huruma watoto waonee huruma wazazi waoMwalimu asiejua kuandika anachanganya herufi kubwa na ndogo bila nukta.Mwalimu anaandika afu,ndo.
Kama wewe kweli ni mwalimu nawaonea huruma sana wanafunzi unaowafundisha.
Tarehe 22 ni kesho vuta subiraMarch vepee?
Gari inatembelea rimTarehe 22 ni kesho vuta subira
Mzee wa kubaki na tSh 400 nmb app 😂Gari inatembelea rim
Mzee hausahau.. 😁😁😁 sahivi imebaki Tsh 50/= sema wamezuia screenshot sahivi.Mzee wa kubaki na tSh 400 nmb app 😂
Hatari sana mzee 😂, jitahidi uwe na account ya akiba unatupia hata 50k kila mwezi mkuu,inakuja kukuokoa ukiwa umefuliaMzee hausahau.. 😁😁😁 sahivi imebaki Tsh 50/= sema wamezuia screenshot sahivi.
Tuna safari ndefu sana man,
Kama rahisi vile.Hatari sana mzee 😂, jitahidi uwe na account ya akiba unatupia hata 50k kila mwezi mkuu,inakuja kukuokoa ukiwa umefulia
Hakika mkuu.Kama rahisi vile.
Mshahara wenyewe 6 digits, bodi ya mikopo wachukue, bank wachukue, kodi, bima, vyama vya wafanyakazi, ..
Mkuu, kufanya kazi serikalini jau sana. Basi tu
Unataka nchi iingie kwenye vitamwezi huu hakutakuwa na mishahara, pesa zote tumezielekezea kwenye mradi wa ujenzi wa kiwanja cha mpira Arusha.
vumilieni huu mwezi mtalipwa mwezi ujai- SERIKALI
kumbuka mshahara watapata sekta ya ulinzi na afya tu basi, nyie wengine vumilieni mpaka april 23Unataka nchi iingie kwenye vita
tulikuwa tunashauriana hapa na Saa100 pamoja na cabinate kuwa hii pesa ya mishahara ya walimu tu, tuibetie kwenye mechi ya Yanga vs Mamelod kwa option ya BOTH TEAM TO SCORE.huu utani wa ngumi
Naona unaikandia kazi yako mwalimu[emoji23][emoji23]Walimu wanashida sana, Yani salary ikifika TU trh 20 hawajalipwa wanaanza makelele, njaa inawasumbuwa hawa
dah hatar sanatulikuwa tunashauriana hapa na Saa100 pamoja na cabinate kuwa hii pesa ya mishahara ya walimu tu, tuibetie kwenye mechi ya Yanga vs Mamelod kwa option ya BOTH TEAM TO SCORE.
maana miradi imekuwa mingi mpaka kibubu cha hazina kinakaribia kukauka.
mkeka ukitiki, tutawapa ongezeko la sh. 150.05 kama nyongeza ya mshahara.
Yani Iran na mashia wanawatukana na kuwadhalilisha maswahaba. Iran na mashia wanamuita mke wa mtume Muhammad SAW kahaba. Halafu umma wa uislamu tumekaa tu kimya???Mkuu upo taasisi gani?
Mbona bado muda.