Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mwalimu asiejua kuandika anachanganya herufi kubwa na ndogo bila nukta.Mwalimu anaandika afu,ndo.
Kama wewe kweli ni mwalimu nawaonea huruma sana wanafunzi unaowafundisha.
Usiwaonee huruma watoto waonee huruma wazazi wao
 
Hatari sana mzee 😂, jitahidi uwe na account ya akiba unatupia hata 50k kila mwezi mkuu,inakuja kukuokoa ukiwa umefulia
Kama rahisi vile.
Mshahara wenyewe 6 digits, bodi ya mikopo wachukue, bank wachukue, kodi, bima, vyama vya wafanyakazi, ..

Mkuu, kufanya kazi serikalini jau sana. Basi tu
 
Kama rahisi vile.
Mshahara wenyewe 6 digits, bodi ya mikopo wachukue, bank wachukue, kodi, bima, vyama vya wafanyakazi, ..

Mkuu, kufanya kazi serikalini jau sana. Basi tu
Hakika mkuu.
 
mwezi huu hakutakuwa na mishahara, pesa zote tumezielekezea kwenye mradi wa ujenzi wa kiwanja cha mpira Arusha.
vumilieni huu mwezi mtalipwa mwezi ujao- SERIKALI
 
huu utani wa ngumi
tulikuwa tunashauriana hapa na Saa100 pamoja na cabinate kuwa hii pesa ya mishahara ya walimu tu, tuibetie kwenye mechi ya Yanga vs Mamelod kwa option ya BOTH TEAM TO SCORE.

maana miradi imekuwa mingi mpaka kibubu cha hazina kinakaribia kukauka.
mkeka ukitiki, tutawapa ongezeko la sh. 150.05 kama nyongeza ya mshahara.
 
tulikuwa tunashauriana hapa na Saa100 pamoja na cabinate kuwa hii pesa ya mishahara ya walimu tu, tuibetie kwenye mechi ya Yanga vs Mamelod kwa option ya BOTH TEAM TO SCORE.

maana miradi imekuwa mingi mpaka kibubu cha hazina kinakaribia kukauka.
mkeka ukitiki, tutawapa ongezeko la sh. 150.05 kama nyongeza ya mshahara.
dah hatar sana
 
Mkuu upo taasisi gani?

Mbona bado muda.
Yani Iran na mashia wanawatukana na kuwadhalilisha maswahaba. Iran na mashia wanamuita mke wa mtume Muhammad SAW kahaba. Halafu umma wa uislamu tumekaa tu kimya???
 
Back
Top Bottom