Legrema2050
JF-Expert Member
- Jun 5, 2021
- 606
- 708
Kumekuchaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongio mambo badoKumekuchaaa
Na mqkucha yakeKumekuchaaa
Vipi uko kwenu, mambo tayari?Na mqkucha yake
Da bado aise namimi naisubilia kwa hamu yani kuanzia kesho siendi kazini mpaka mshahara utoke.Vipi uko kwenu, mambo tayari?
Mbona salary slip kwenye ess baada ya view kukamilika, ikija open kitufe chake ukikibofya haifunguki?, inatakiwa nifanyeje ili niweze ku-open salary slip kwenye ess?Kwenye ESS mambo tayari ila account bado hazijasoma
Ukieka mwezi na mwaka unabonyeza view salary slips then chini utaona document inafunguka ndo hiyo salary slip.Mbona salary slip kwenye ess baada ya view kukamilika, ikija open kitufe chake ukikibofya haifunguki?, inatakiwa nifanyeje ili niweze ku-open salary slip kwenye ess?
Hela yako kivipi? Kwani uliomba kazi au ulidai kazi? Kama uliomba kazi basi hata mshahara omba pia, usidai..Hela si yetu, watugee bwana tusipangiane matumizi..
Subiri mei-mosiHahaha, leteni pesa hizo, mtaani kumekaukaaaa
Mimi sio mtumishi.., ila watumishi wakilipwa unajua hata sisi wengine huwa zinatufikia kupitia biashara zetu..,Subiri mei-mosi
Wewe ndio umekosa wa mwezi huuUkibonyeza hapo kwenye open haifunguki, au kuna namna nyingine?
View attachment 2971264
Hata nikifungua miezi ya nyuma bado nikifika hatua hiyo sitoboiWewe ndio umekosa wa mwezi huu
😁😁😁 Usijipe matumaini, ushaukosa wenzako vitu vinasomaHata nikifungua miezi ya nyuma bado nikifika hatua hiyo sitoboi
Salary slip kwangu zinafunguka tu kwenye mfumo wa salary slip portal, ila huku kwenye ess sijawahi fungua ikakubali.😁😁😁 Usijipe matumaini, ushaukosa wenzako vitu vinasoma