Mkuu, relax na haya maisha ya hapa duniani, wacha kujipa taabu bila ya umuhimu wowote. Unaishia kuporomoshewa matusiScale gani acha kutisha watu na mikwara yako hujui ulisemale watumishi wapo laki 5 Tanzania nzima ila wenye mshahara unaovuka million moja hawavuki hata laki moja waliobaki wote wanatembelea rim usidanganye watu hapa.
Ana matatizo ya kisaikolojia, mimi wala si mwalimu lakini nashiriki huu uzi na kuyajua mengi sanaMkuu yeye anaita watu wajinga sijui wapumbavu eti kisa wanaulizia mshahara wakati ni haki yao. Mara atukane walimu. Mm mwalimu, baba yangu mwalimu, mama yangu mwalimu halafu anataka nimchekee.
Kwasababu asilimia kubwa ya walimu hawajielewi ndio maana wanashindwa kutetea hoja wana kimbilia matusi ila hakuna bundle la matusi ni buree ukija bila guard ila watumishi wengine ni vilaza hawa bila shaka hawajapitia ajira portal.Mkuu, relax na haya maisha ya hapa duniani, wacha kujipa taabu bila ya umuhimu wowote. Unaishia kuporomoshewa matusi
Usijipe taabu na maisha ya watu wasiokuhusu, ukiwa hivyo maisha haya ni mepesi sana.Kwasababu asilimia kubwa ya walimu hawajielewi ndio maana wanashindwa kutetea hoja wana kimbilia matusi ila hakuna bundle la matusi ni buree ukija bila guard ila watumishi wengine ni vilaza hawa bila shaka hawajapitia ajira portal.
Huu mshahara unaisha weekendTunaenda kwenye viti virefu ama hatuendi?
Ukute apo kakalia kochi la mume wa Dada yake na Mbupu zake hana hata jero ila Wabongo.Huu upuuzi wa kuulizana mishahara humu jf kama umetoka au haujatoka ni sheria za wapi za utumishi mshahara kuchelewa siku mbili tayari mshajaza server humu na wengine wana miaka 10 kwenye ajira ila bado wanategemea mshahara nonsense kabisa.
Naam mkuupwilo mkuu ,sijaona umuhimu wowote wa kuwashambulia watu kisa reaction zao juu ya comment Yako ya awali kabsaa ambayo hata Mimi niliisoma hapa.
Humu Kuna mada nyingi sana na zipo katika hisia tofautitofauti kulingana mahitaji Yako au yetu sote. Ni jambo zuri iwapo Kila mtu akachagua upande anaouona yeye kuwa ni WA watu watu wenye akili nyingi,wajinga,wapuuzi,maskini ,matajiri n.k kama yeye.
Uhuru ni kitu muhimu sana. Acha watu waelezee hisia zao katika mifumo tofauti.
Matajiri wana fujo zisizo umiza wamejaa mujini balaa...... na gari zao impreza wanapishana tu ATM😂😂😂😂Mjini hapakaliki, matajiri wa mwisho wa mwezi wanakatiza kila kona, utafikiri wkend imeanza 😀
😀 😀 😀 Kuna gari huwa zinaonekana mwisho wa mwezi kwa mwisho wa mweziMatajiri wana fujo zisizo umiza wamejaa mujini balaa...... na gari zao impreza wanapishana tu ATM😂😂😂😂
Huku anaangalia marudio ya simba na yanga.Ukute apo kakalia kochi la mume wa Dada yake na Mbupu zake hana hata jero ila Wabongo.
Unazingua.January atalipwa mshahara wa ubunge tu, yale malupulupu ya uwaziri hayapo tena.
550 nafikiri haifiki maana ni bmiaka 9 ingekuwa 7 labdaMkuu mkopo wa Miaka 9 ? Mil 30 aisee utawafanyia kazi bank miaka 9+ hapo makato almost 550 kwa mwezi
Mkuu, unatukimbiza MabodyGuardMnafanya nn humu.. Ebu ondokeni
Punguza uchawa ongea FACTSkaa kwa kutulia maana Mama ni Mwenye huruma na upendo kwa watanzania wote. Kwa hiyo acha kulia lia .bali andaa leso ya kufuta machozi ya furaha pale ambapo mama atanyoosha mkono wake na kukufikia hapohapo ulipo.
Time periodKwa nini asichukue
Mimi ninavyojua increment inafanyika ule mwezi uliojaza barua ya ajira,mfano kama umeajiriwa mwezi wa pili wa mwaka flani basi kila ikifika mwezi wa pili wa miaka inayofuata ndo increment yako inaongezwaPunguza uchawa ongea FACTS
Sheria inasema "Increment ni kila mwezi wa saba"
Yeye ni nani asitii sheria?
No one is above the law.
#YNWA