DUBULIHASA
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,446
- 8,215
Mkuu zikifika hizi tarehe nadhan ID yako inajichatisha yenyewe bila ww kujua maana sio kwa kulenga tarehe kiasi hiki...Aisee bado?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu zikifika hizi tarehe nadhan ID yako inajichatisha yenyewe bila ww kujua maana sio kwa kulenga tarehe kiasi hiki...Aisee bado?
Hawafanyi fair kuchelewesha pesaMkuu zikifika hizi tarehe nadhan ID yako inajichatisha yenyewe bila ww kujua maana sio kwa kulenga tarehe kiasi hiki...
Unaanza kupiga cm kwa washkaji. 🤣🤣Ukiwa likizo, hela ikichelewa unasema labda wamenisahau nini? Au kazi wamenifukuza? Au wamelipa cash mkononi 😀😀😀😀
Alafu ukute kuna washkaji wapuuzi.Unaanza kupiga cm kwa washkaji. 🤣🤣
HahaaAlafu ukute kuna washkaji wapuuzi.
Wanakuambia, mbona kitambo mzee? Hujawekewa? Pressure juu kubabake
Leo dakika za jiooooniiii bila shaka!Aisee bado?
Nimekaa kinyonge sana aiseeLeo dakika za jiooooniiii bila shaka!
Hahahaa mlikua mnachukua dirishanimiaka ya 70s nakumbuka niliwahi kuacha mshahara kwa miezi 8 wakati nakwenda kuchukua yule mama alinishanga sana na kuniuliza ulikua unaishi vipi nilimjibu nimepangwa kijijini nakula ndizi na matunda kisha nikaondoka
"Mshahara utalipwa kwa kila mwisho wa mwezi husika" hivi ndivyo mkataba wako unavyosema hivyo mwisho wa mwezi sio tarehe 23 ila ni 30 mshahara kuupata tarehe 23 ni ihsani tu ya serikali.Ili la kuchelewesha mshahara inabidi tulifanyie maandamano Leo Leo...
kisha unasaini mwezi uliochukuaHahahaa mlikua mnachukua dirishani
Jinga sana wewe ,mwisho wa mwezi ni trh 30 ikiwa na maana unakaa siku 30 toka uchukue mshahara wa mwisho,watumishi walipokea 23 if not mistaken so ikizidi hapo inazidi mwisho wa mwezi"Mshahara utalipwa kwa kila mwisho wa mwezi husika" hivi ndivyo mkataba wako unavyosema hivyo mwisho wa mwezi sio tarehe 23 ila ni 30 mshahara kuupata tarehe 23 ni ihsani tu ya serikali.
Vumilia mshahara wako kesho utaupata ndio tunamalizia kuprocess
Wanataka ufanye kazi uweke makalio pondi kwa p diddy wakati kuna kazi unaitegemea,wamejitafuta wamejipata baada ya kukosa kazi so wategemee walichowekezalakin tunafanya kazi ni halali yetu mkuu au tunakosea?
akili huna wewe, mkataba wako unasemaje juu ya malipo yako ya mshahara.Jinga sana wewe ,mwisho wa mwezi ni trh 30 ikiwa na maana unakaa siku 30 toka uchukue mshahara wa mwisho,watumishi walipokea 23 if not mistaken so ikizidi hapo inazidi mwisho wa mwezi
Jinga kweli baki na akili yako ya ki upindeakili huna wewe, mkataba wako unasemaje juu ya malipo yako ya mshahara.
Siku za malipo hazihesabiki kuanzia siku uliyopokea mshahara uliopita ila ni siku 30 za kuhesabu kawaida ktk mwezi
Kwa iyo ukianza kazi tarehe 15 mwisho wa mwezi ni tarehe 30 ulipwe😂😂😂Jinga kweli baki na akili yako ya ki upinde
akili huna wewe, mkataba wako unasemaje juu ya malipo yako ya mshahara.
Siku za malipo hazihesabiki kuanzia siku uliyopokea mshahara uliopita ila ni siku 30 za kuhesabu kawaida ktk mwezi