mshahara ni haki yake kuulizia hata kama ana biashara nyingine pembeni so waacheni wawe huru na mishahara yao period kupanga ni kuchaguaNimeona hapo juu mtu anasema mshahara utoke anazitumbue starehe na mademu ,lakini nina marafiki zangu niwatumishi, wao wanatumbua wakisema mshahara mdogo bora wanywee pombe tu . sio wote lakini .
Sijadharau mkuu. nimesema kuna umuhimu wa kuweka mkakati kujikwamua ,mbona wengine wanafanya hata biashara fulani fulani huku wamekopa na wanapiga hatua bila kutegemea salary? so ni mkakati tu lasivyo itakuwa hali hio hio
Safi inasaidia sana20k kwa siku sio mradi mdogo man. Ujue 600k kwa mwezi iyo.
Ila nitaifanyia kazi, ngoja huu mwaka upinduke.
Sijakataa suala la kuuliza elewa concern yangu.mshahara ni haki yake kuulizia hata kama ana biashara nyingine pembeni so waacheni wawe huru na mishahara yao period kupanga ni kuchagua
Wote tukiwa wafanyabiashara, kodi yetu atalipwa nani?... mbona wengine wanafanya hata biashara fulani fulani huku wamekopa na wanapiga hatua bila kutegemea salary?
Biashara sioo lazima uuze vitu , ukiwekeza pia ni biashara nzuri tu ,kitu chochote cha ziada kukuletea hela .Hata consultaciesWote tukiwa wafanyabiashara, kodi yetu atalipwa nani?
nimekuelewa ndugu ila unalazimisha mawazo yako wote tuyachukue watumishi hawahitaji ushauri wako manSijakataa suala la kuuliza elewa concern yangu.
Ujuaji mwingi sio? .nipo kwenye utumishi wa umma tokea 2009 sasa nikionaga hawa GEN Z na vijigambo uwa sivielewagi hawujui wanabishana na baba zao humu utakuta wanakaa kwa dada zao
Well said, umenena vyema sana mkuu!Mkuu, kweli maisha ni mafupi lakini punguza kula bata
jitahidi kuwawekea akiba wategemezi, watoto wako kwa maisha ya kesho
weka akiba kwaajiri ya maendeleo, kwa kununua assets
Tumia pesa zngine za ziada ktk anasa na sio mshahara. Heshimu mshahara wako usiudharau
mimi madogo kama nyie mkitoka kwenye mstari uwaga nawachana tuuUjuaji mwingi sio? .
Nakuombea Mpate huo mshahara mapema kabla ya Alhamisi wiki hii, ila naomba usikose kuninunulia japo Kiko mbili Babu yenu niburudishe moyo 😜Babu tupate kwanza mshahara wa mwezi huu, ndio akili itafanya kazi😆
Wachane waache shobomimi madogo kama nyie mkitoka kwenye mstari uwaga nawachana tuu
Na bado hajakamuliwa na vishokakwanza salary huwa kama ina majin flan hiv. cha kwanza ukishanunua nunua mahitaj ya ndan. ukitoa nauli ukitoa umeme ukitoa ges maji na emergency. kama utabak hata na 50k niite nipo palee. haibak chochote. wanaosema biashara hiasharq ooh nao ndio chenga.biashara gan unapkea 290k .usicheke hio 290k ndio jamaa yang mmoja anapata kwa vile ana Service deni aliwah kukopa benk so ajamaa anabak na 290k kila mwez.
Foleni ya kitu gani ndugu?Maisha haya ,Basi tu wacha niendelee kusubilia foleni yangu ,Ee bwana Mungu nisaidie tu ,Mimi mtu wako
Kifo Kaka yangu LupwekoFoleni ya kitu gani ndugu?