Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Nimeona hapo juu mtu anasema mshahara utoke anazitumbue starehe na mademu ,lakini nina marafiki zangu niwatumishi, wao wanatumbua wakisema mshahara mdogo bora wanywee pombe tu . sio wote lakini .

Sijadharau mkuu. nimesema kuna umuhimu wa kuweka mkakati kujikwamua ,mbona wengine wanafanya hata biashara fulani fulani huku wamekopa na wanapiga hatua bila kutegemea salary? so ni mkakati tu lasivyo itakuwa hali hio hio
mshahara ni haki yake kuulizia hata kama ana biashara nyingine pembeni so waacheni wawe huru na mishahara yao period kupanga ni kuchagua
 
nipo kwenye utumishi wa umma tokea 2009 sasa nikionaga hawa GEN Z na vijigambo uwa sivielewagi hawujui wanabishana na baba zao humu utakuta wanakaa kwa dada zao
 
Mkuu, kweli maisha ni mafupi lakini punguza kula bata

jitahidi kuwawekea akiba wategemezi, watoto wako kwa maisha ya kesho

weka akiba kwaajiri ya maendeleo, kwa kununua assets

Tumia pesa zngine za ziada ktk anasa na sio mshahara. Heshimu mshahara wako usiudharau
Well said, umenena vyema sana mkuu!
 
Babu tupate kwanza mshahara wa mwezi huu, ndio akili itafanya kazi😆
Nakuombea Mpate huo mshahara mapema kabla ya Alhamisi wiki hii, ila naomba usikose kuninunulia japo Kiko mbili Babu yenu niburudishe moyo 😜
 
kwanza salary huwa kama ina majin flan hiv. cha kwanza ukishanunua nunua mahitaj ya ndan. ukitoa nauli ukitoa umeme ukitoa ges maji na emergency. kama utabak hata na 50k niite nipo palee. haibak chochote. wanaosema biashara hiasharq ooh nao ndio chenga.biashara gan unapkea 290k .usicheke hio 290k ndio jamaa yang mmoja anapata kwa vile ana Service deni aliwah kukopa benk so ajamaa anabak na 290k kila mwez.
 
Hivi kwanini watu msiokuwa watumishi wa umma mnakuwa na shobo na huu uzi sana? Lengo la kuanzishwa huu uzi ni kupeana updates za lini cheque number zetu zinafurahi basi! Ushauri wa kufungua biashara sijui miradi pelekeni jukwaa la biashara, kilimo na ujasiriamali! Hapa tunaulizia lini salary slip zetu zitaonyesha madeni yetu ya bank yalivyopungua, malipo yetu ya PAYE yalivyopokelewa, michango yetu ya Bima za afya ilivyopokelewa ili kenge kama nyie mtibiwe! Punguzeni ushauri, miradi tunayo na salary tunaitaka!
 
kwanza salary huwa kama ina majin flan hiv. cha kwanza ukishanunua nunua mahitaj ya ndan. ukitoa nauli ukitoa umeme ukitoa ges maji na emergency. kama utabak hata na 50k niite nipo palee. haibak chochote. wanaosema biashara hiasharq ooh nao ndio chenga.biashara gan unapkea 290k .usicheke hio 290k ndio jamaa yang mmoja anapata kwa vile ana Service deni aliwah kukopa benk so ajamaa anabak na 290k kila mwez.
Na bado hajakamuliwa na vishoka
 
Back
Top Bottom