Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

🤣🤣🤣 babu hii ni hongo!
Hahaha..........hii ni zawadi ya Babu Kwa Mjukuu wake baada ya kumtunzia Siri

Unadhani nikiachika Kwa Bibi yenu umri huu si baridi litaniua Babu yenu 😜
 
Hahaha..........hii ni zawadi ya Babu Kwa Mjukuu wake baada ya kumtunzia Siri

Unadhani nikiachika Kwa Bibi yenu umri huu si baridi litaniua Babu yenu 😜
Kufa haukufi babu🤣🤣🤣

Babu huna access kizimkazi? Mwambie atatutoa roho😭😭
 
Kufa haukufi babu🤣🤣🤣

Babu huna access kizimkazi? Mwambie atatutoa roho😭😭
Kuwa na huruma na Wazee 😜

Kizimkazi ni kama nilivyoandika Jana, Kitu ni Alhamisi mapema ili weekend ianze mapema

Kama huna hela ya mboga, Sema nikurushie tu Mjukuu 🤗
 
Kuwa na huruma na Wazee 😜

Kizimkazi ni kama nilivyoandika Jana, Kitu ni Alhamisi mapema ili weekend ianze mapema

Kama huna hela ya mboga, Sema nikurushie tu Mjukuu 🤗
Aaah wazee wenyewe wa hovyo🤣🤣

Babu jana nimeshinda kwa wakala na haukutuma😭😭😭
 
Aaah wazee wenyewe wa hovyo🤣🤣

Babu jana nimeshinda kwa wakala na haukutuma😭😭😭
Ukiona hadi vile vikao vya kumshauri namba moja pale juu tunaitwa, unadhani mchezo 🤗

Siamini kama Mimi na Mzee mwenzangu ERoni tumekuwa Wazee wa hovyo Siku hizi 😜

Fanya mpango inifikie hiyo namba ya Wakala, Wazee hatuna hiyana 🤗
 
Mzee wewe na hivi videmu vyako fuataneni huko inbox mtongozane huko huko, acheni ujinga ujinga kwenye huu Uzi....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…