The Spirit of Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 7, 2020
- 1,045
- 1,868
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa nilizonazo ni za wanajeshi, kwahiyo kama kuna wengine tofauti na wanajeshi, sio tatizo kwani inawezekana. Nimeongea ninachokijua, sasa uongo ni upi?Mbona mnaishi kwenye uongo muda sana!
Mbona watu wamepata na sio wanajeshi hiyohiyo jana?
mwamba habali zako uwaga ni za uwakika kwa sisi raia nafikiri badae badae mambo yetu yatakuwa mukideTaarifa nilizonazo ni za wanajeshi, kwahiyo kama kuna wengine tofauti na wanajeshi, sio tatizo kwani inawezekana. Nimeongea ninachokijua, sasa uongo ni upi?
Aaah wazee wa hovyo kitambo sana🤣Ukiona hadi vile vikao vya kumshauri namba moja pale juu tunaitwa, unadhani mchezo 🤗
Siamini kama Mimi na Mzee mwenzangu ERoni tumekuwa Wazee wa hovyo Siku hizi 😜
Fanya mpango inifikie hiyo namba ya Wakala, Wazee hatuna hiyana 🤗
Nashangaa sana mkuu, we umeleta taarifa uliyonayo so badala ya yeye nae kuleta yake anakuja kukosoa kosoa na kuleta battle za form one!Taarifa nilizonazo ni za wanajeshi, kwahiyo kama kuna wengine tofauti na wanajeshi, sio tatizo kwani inawezekana. Nimeongea ninachokijua, sasa uongo ni upi?
Punguza hasira mkuu, mshahara utaingia tu🤣Mzee wewe na hivi videmu vyako fuataneni huko inbox mtongozane huko huko, acheni ujinga ujinga kwenye huu Uzi....
daa watakuwa wameokoa kinomaTayari wakuu. Kila mmoja asubiri batch lake bila ya kujali ni bank gani
Wewe umepata lini? Na ni bank Gani?Tayari wakuu. Kila mmoja asubiri batch lake bila ya kujali ni bank gani
Jana 22/10/2024 22:27 HRS. Bank ni CRDB. Bank si kigezo cha kupata pamoja, wapo ambao ni CRDB na bado wanasubiriWewe umepata lini? Na ni bank Gani?
tuvute muda mpaka mchana mchana mambo yatakuwa mazuriiJana 22/10/2024 22:27 HRS. Bank ni CRDB. Bank si kigezo cha kupata pamoja, wapo ambao ni CRDB na bado wanasubiri
hatukupi nyie ndio mnaowaambiaga watumishi walime hata michicha wapunguze kutegemea salaryWatumishi nikopesheni elfu kumi
Sio wakati wote tunahitaji kuwa serious Mkuu.Mzee wewe na hivi videmu vyako fuataneni huko inbox mtongozane huko huko, acheni ujinga ujinga kwenye huu Uzi....
Leo tangu saa 3 asubuhi, nimeona foleni ni kubwa hapo NMB, hopefully mzigo utakuwa tayari Kwa Watumishi wengiAaah wazee wa hovyo kitambo sana🤣
Sasa si mfanye namna babu, mtatutoa roho.
Acha njaaWatumishi nikopesheni elfu kumi
Wapo kwenye foleni kwani hawaingii kazini? NMB hawana SIM banking?Leo tangu saa 3 asubuhi, nimeona foleni ni kubwa hapo NMB, hopefully mzigo utakuwa tayari Kwa Watumishi wengi
Hili ndiyo jambo la msingi, wale wenye access ya kukopeshwa Benki, vyema wakope na kuanza kuwekezaHongereni sana mnaopata mishahara kwa mwezi ,jitahidini muwekeze ili hata siku mshahara ukichelewa msiumize vichwa.
Wengi wanahisi kutoa Kwa njia ya Simu inaongeza Makato, hivyo hupanga foleni kutoa CashWapo kwenye foleni kwani hawaingii kazini? NMB hawana SIM banking?