Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hongera zako.Nimeshangaa kuona nyongeza ya mshahara katika mshahara wa mwezi huu.
Mwezi July waliongeza na mwezi huu tena wameongeza tena ongezeko kubwa.
Hii imekaaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera zako.Nimeshangaa kuona nyongeza ya mshahara katika mshahara wa mwezi huu.
Mwezi July waliongeza na mwezi huu tena wameongeza tena ongezeko kubwa.
Hii imekaaje?
Kuna watu humu wanakuwa wajuaji kupitiliza, unamshauri mtu mzima mwenye familia yake kama vile amekuwa mtoto wako. Mbona watumishi wengi tu wamewekeza vizuri sanapunguza ushauri mkuu
Mmeuteka Uzi we na bwana Ako hamna updates za maana zaidi ya shobo na mitongozo.Haya ya kausha damu yanaiva kila siku, usipolipa utashangaa mzee mwenzio ERoni kauawa na watu wa oya
Hahaha............Kwa kilichotokea Kwa Yule jamaa na watu wa OYA, nitamshauri Mzee mwenzangu ERoni anunue manati ya Mzungu ama aajiri Mabaunsa kwaajili ya kuimarisha Ulinzi pindi watu wa OYA watakapokuja kudai madeni yao 😅Haya ya kausha damu yanaiva kila siku, usipolipa utashangaa mzee mwenzio ERoni kauawa na watu wa oya
Acha hizo mkuuSawa mchezo ni dakika 90 tu kama fainali inaongezwa 30 hadi matuta ,waangalie wapo hatua gani maana ni swala la muda tu.
Mkuu updates hujaziona tu kwani!! Wenzio tuko kwenye foleni, wahi kabla hatujakumalizia hela.Mmeuteka Uzi we na bwana Ako hamna updates za maana zaidi ya shobo na mitongozo.
Fafanua maelezo Yako, ongeza nyama kidogo mkuu!Naona mama kaongeza posho
Ya Pikipiki auelfu 20 petrol kuutisha mtaa.
ya raum . hii natumia kuendea kituon naiacha nikirud naipitiaYa Pikipiki au
😀 muda wa kutamba huuya raum . hii natumia kuendea kituon naiacha nikirud naipitia
Jamaa anashtua watu ujueFafanua maelezo Yako, ongeza nyama kidogo mkuu!
Ni noma sana.... CCM Wana mambo ya kiseng sana sasa mbona wengine hatujawekewa salary...Jamaa anashtua watu ujue
Haiachiwi kwa kutegemeana na benkiBenki zipi tayari mpaka muda huu?
Ndio wewe nimekuona hapo mashine tatu unakunywa supu ya kongoro kwenye mgahawa wa twiga cafe?kweli? ngoja nichkue boda niwahi hapo kwa hanspop nikiona folen naenda ruco pale sio sana.nikitoka hapo nashuka zangu mashine tatu naenda kuchkua kwioo mzima mzima ikumbukwe mda huo nimeshapiga simu wayamwage yale maharage kwa sasa sio wakat wake.niweke na tumafuta twa elfu 20 petrol kuutisha mtaa.
twiga hapo nafatq sambusa. ndio mim mkuu mbna hujanishtua .Ndio wewe nimekuona hapo mashine tatu unakunywa supu ya kongoro kwenye mgahawa wa twiga cafe?