Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

Haya ya kausha damu yanaiva kila siku, usipolipa utashangaa mzee mwenzio ERoni kauawa na watu wa oya
Hahaha............Kwa kilichotokea Kwa Yule jamaa na watu wa OYA, nitamshauri Mzee mwenzangu ERoni anunue manati ya Mzungu ama aajiri Mabaunsa kwaajili ya kuimarisha Ulinzi pindi watu wa OYA watakapokuja kudai madeni yao 😅
 
kweli? ngoja nichkue boda niwahi hapo kwa hanspop nikiona folen naenda ruco pale sio sana.nikitoka hapo nashuka zangu mashine tatu naenda kuchkua kwioo mzima mzima ikumbukwe mda huo nimeshapiga simu wayamwage yale maharage kwa sasa sio wakat wake.niweke na tumafuta twa elfu 20 petrol kuutisha mtaa.
Ndio wewe nimekuona hapo mashine tatu unakunywa supu ya kongoro kwenye mgahawa wa twiga cafe?
 
Back
Top Bottom