halloperidon
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,096
- 5,254
Tupo wengi tuKuna ambao hawajapata salary hadi muda huu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo wengi tuKuna ambao hawajapata salary hadi muda huu?
Pepmis
Umejaribu kumuuliza Afisa utumishi wako utalipwa liniPepmis
LolDah umetisha.. Usikute uwa tunakutana GPSA kwenye mafuta..
LOCAL GAV hio kitu hakuna labda nyie mawizarr na matasisNawasalimu, posho za sikukuu hazijaanza kuwekwa?
I mean hivi hivi vimshahara vyetu tuLOCAL GAV hio kitu hakuna labda nyie mawizarr na matasis
Uzi huu unahit seasonally km nyimbo za Christmas 🎁Mshahara utoke sasa.
Kuna Halmshauri huko raia wanabeba posho za sikukuu mkuu, Mbeya Jiji huwezi linganisha na Newala Dc.LOCAL GAV hio kitu hakuna labda nyie mawizarr na matasis
Waweke tu hizo vimishahara mapema,, Hali ni Tete na hizi SikukuuNawasalimu, posho za sikukuu hazijaanza kuwe
nmb ndio wamekazana toka juzi kuniaambia nisikae kinyonge nikope mpaka mil 200. wananiambia sikuukuu itabamba nikichkua mil 200. i am still wondering can someone be intimidated to such adverts and go to take 200mil.for sikukuuNaoana leo Ijumaa any updates?
Hivi mkuu kazini kwako hamna chochote kitu cha kupunguza ukali..?maana jamaa yangu yupo tbs yaani anasema anakaaga hata miezi 9 bila kugusa salaryNaoana leo Ijumaa any updates?
Chizi wa magari hali ni tete kwa upande wako, pole sana kamanda.Naoana leo Ijumaa any updates?
Kuna viumbe wanakula good time aiseeHivi mkuu kazini kwako hamna chochote kitu cha kupunguza ukali..?maana jamaa yangu yupo tbs yaani anasema anakaaga hata miezi 9 bila kugusa salary
bora yao. ni kwel kuna taasis maisha mazur. wengine wanasubiria mshahar walipe maden kwa mang na kukopa tenaHivi mkuu kazini kwako hamna chochote kitu cha kupunguza ukali..?maana jamaa yangu yupo tbs yaani anasema anakaaga hata
miezi 9 bila kugusa salary
Januari toka huko kwenu Bumburi kwa mzee Makamba ukukuje hapa kuna kesi inahusu mshahara wako.Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.