Mvinyo mpya
JF-Expert Member
- Aug 24, 2013
- 1,052
- 2,866
Wengine kesho sasa, mapema tuBakabaka tayari kumeachiwa , beba kadi zama ATM[emoji39]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengine kesho sasa, mapema tuBakabaka tayari kumeachiwa , beba kadi zama ATM[emoji39]
Kabisa, dah ila haya maisha ya kusubiri mshahara[emoji3061]tabu sanaWengine kesho sasa, mapema tu
hand 2 mouthPaycheck to paycheck...
Mno shida tukiupata bata sana, viti virefu mixer kutoa tips za hapa na paleKabisa, dah ila haya maisha ya kusubiri mshahara[emoji3061]tabu sana
usikariri. unajuaje labda ni ticha wa baibo nolejiMwalimu asiejua kuandika anachanganya herufi kubwa na ndogo bila nukta.Mwalimu anaandika afu,ndo.
Kama wewe kweli ni mwalimu nawaonea huruma sana wanafunzi unaowafundisha.
Umesoma mda si mwingiNasikia tayari Masoja.
kwaiyo izo ndoizi wanazikamua kwa mikikimikiki kwa wajasiriamali au?Bakabaka vipi washapokea?
- muda si muda anabaki alivyokuwa zamani, mshahara umeishaBakabaka tayari kumeachiwa , beba kadi zama ATM[emoji39]
Subiri tumalize kupangana kuwaongozaVipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
Kweli? Watu wanataka wakakeshe kusherehekea ushindi wa New Mwenyekiti in town.gusa achia twenzetu ATM
Lengo la pesa ni kutumika, ulitaka iweje wewe- muda si muda anabaki alivyokuwa zamani, mshahara umeisha
Vipi huko kumesoma maana khali sio hali madeni mpaka utosini kila duka tunadaiwa mpaka pakukopa pameisha.
Weee, kweli?NMB imoooo
Bank gani mi bila bilaMama keshacheka aiseeh!!
Bye Bye January.......!!!
Wanazingua hao hakuna hela imeingia..Bank gani mi bila bila
Oooh wanarusha watu roho , ili iweje sasa😆Wanazingua hao hakuna hela imeingia..