Mshahara wa mwezi huu vp jamani watoto wanahitajika kurudi toka mashuleni kwa likizo ya dharura.
[emoji16][emoji16][emoji16]taasisi yetu ulichelewa Sana[emoji16][emoji16][emoji16]
Pocket yangu iko vema
Japo Sina familia
K,K
Mshahara vipi jamani wale wa serikalini? kuna aliyepata?
Pole, tambua kuwa nchi iko kwenye hali mbaya jipange mapema mkuu,yajayo ni magumu
Watumishi wa umma wangeambiwa mapema wajipange