Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,943
Hii miezi minne ratiba za mshahara zimebadilika. 24, 25, 25 na hii Machi 25 ndio kasungura katatoka.
Tulishazoea 21, 22 na ikichelewa sana 23.
Tulishazoea 21, 22 na ikichelewa sana 23.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii miezi minne ratiba za mshahara zimebadilika. 24, 25, 25 na hii Machi 25 ndio kasungura katatoka.
Tulishazoea 21, 22 na ikichelewa sana 23.
Payroll ndiyo nini, inatoka tarehe 15 mpaka sasa mshahara hakuna.!Payroll huwa inatoka tarehe 15, Corona ilitangazwa tarehe 18. Hakuna uhusiano wowote wa Corona na salary la mwezi huu. Labda la mwezi ujao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa!! LolKwani bado?
Sio ya kucheka haya...wenzako maji yashapita shingoni yanaelekea mdomoni..😂😂Hahahaaa!! Lol
Sio ya kucheka haya...wenzako maji yashapita shingoni yanaelekea mdomoni..[emoji23][emoji23]
Nacheka Kaka sababu mimi wa kwa Muhindi matarajio yangu ni tarehe 10 huko.Sio ya kucheka haya...wenzako maji yashapita shingoni yanaelekea mdomoni..😂😂
Hahahaaa. Inabidi wajitahidi mana maji yakishafika mdomoni Kaka itakuwa hatari tena.Sio ya kucheka haya...wenzako maji yashapita shingoni yanaelekea mdomoni..😂😂
Mwezi haujaisha coz february ilikua na siku 29
Hivyo leo ni tar 21
Sent using Jamii Forums mobile app
Payroll ndiyo nini, inatoka tarehe 15 mpaka sasa mshahara hakuna.!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa. Inabidi wajitahidi mana maji yakishafika mdomoni Kaka itakuwa hatari tena.
Kwa wale wakopaji hela ikipatikana inaishia kwenye kulipa madeni. [emoji28][emoji28]