Mshahara wa miradi ya RUWASA

Mshahara wa miradi ya RUWASA

daaaaah me natafta hata sehemu ya jumuia, maana nimesugua benchi 2years
Sijui Hawa jumuiya nako shida imo wapi washaambiwa na waziri watoe nafasi kwa wahitimu wa maji nashangaa Bado wako nyuma...me nishafanya interview mpaka nachingwea huko lakini eti post ikawa pending tumeenda watu 11 halafu nafasi zilikuwa 15 mpaka leo hawajatupigia simu na tulifaulu usaili...jumuiya Raha upate mikoa ya Tanga, Kilimanjaro......ila sio dodoma au singida aseee makusanyo Ni madogo Sana utapakimbia ndani ya mwezi
 
Poleni Sana wakuu ingalikuwa Ni awamu ya Magufuli ruwasa wangepewa BAJETI mzuri..now washaambiwa miradi watoe kwa mainjia
 
Hatimae mafundi sanifu wakujitolea RUWASA wameorodheshwa
Screenshot_20211103-220525.jpg
 
Kweli hawa ndio wahandisi wote, wenye vigezo vilivyokubaliwa, kweli hapa imepita connection ila Mungu anawaona.
Yaan mpk kazi za kujitolea ni connection🤒
Pdf hiyo hapo chini, hongera kwa mliobahatika, wengine tumechinjiwa baharini.👇
 
Back
Top Bottom