Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
-
- #41
Ila kuna wanaume wenye hela hawachezei wanawake, ninawafahamu wengi Tu wameoa wadada Hali ya chiniKuanza na mwanaume chini ni bora zaid sema dada zetu hawawezi hilo kwasababu wanaona wanachelewa lkn kama dada huna kipato wanume wenye pesa watakuchezea tu maana wanatafuta type yaoo
Labda dada analipwa zaidi ya kaka jeKimbia kabisa [emoji1787][emoji1787]
Japo inaonekana mpenzi wako ndio kitega uchumi chako, tafuta hela yako usitegemee za wengine
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Nimetukana wapi dada?? Kuuliza mchango wa huyo dada apart from nyapu kwenye hayo mahusiano ni tusi??Sasa ulikuja kutukana akina mama au kumsaidia dada WA watu??
Kwan nyie wanaume mna shida ya Afya ya akili au??
Au nawe unalipwa laki 2?!
Sehemu za siri kila.mtu Anazo, na matumizi take yasikufanye utukane
Njoo ntoe tongotongo basi kijana weyeUnazeeka vibaya
Aahaaaaa,Kimbia ili kesho akipata mshahara wa milion 2 uje
Sasa nyapu inahusika vipi kwenye pesaNimetukana wapi dada?? Kuuliza mchango wa huyo dada apart from nyapu kwenye hayo mahusiano ni tusi??
AahaaaaaUna jua huwa na angalia Sana wadada wenye style hioπ€.
πHivi mna jus maisha yalivyo magumu, mtu mpaka ajipate Sio rahsi aisee.
π Badala ya kum support azidi kupambana, we ndo una fikiria kumkibia. Shame upon you.
πUkimwacha halafu aje kutoboa, sijui utasema nini π€
π Kaangalie nyimbo reason by me by rude boy, uta elewa maisha ni uvumilivu na kuaminiana.
View attachment 2703984
Why?!Sepa tu
Ila kusema ukweli Chini pagumu weweWanawake wa mjini bhana[emoji4]
Yaan Kuanza na mwanaume from the scratch mnaona ni kazi ngumu Sana
Ndo maana tukizipata huwa tunawakanyaga sana mjini afu tunarud kuoa wa kijijini[emoji4]
Mwalimu yupi huyo!? Mpwayungu Village!?Au unalipwa laki 2 kama mwalimu??
Embu msaidieni basi dada WA watu AWEZE kuishi kwenye mshahara WA laki 2 sio mna mjudgeNi Dhahiri shairi humpendi huyo mpenzi wako isipokua unangalia masilahi yake,
Kwani wewe unalipwa shingapi?
Ndio bossMishahara tena
Kwahiyo asepe au??Haaa,hiyo salary kufika kilele utasikia redioni tu
Nyapu inahusika maana kwa akili za huyo mwanamke sidhani kama anaweza kuwa hata na mchango wa mawazo yenye manufaa kwa huyo jamaa zaidi ya kutumia nyapu kama bargaining chipSasa nyapu inahusika vipi kwenye pesa
Au umeona me nimeuliza nyapu?!
Usijibu kama upo darasa la 4 umetoka kubalehe
Wasalimie basi plan B afanyajeUmkimbie tena uende wapi π₯΄
Kwani umpendea Pesa ?
Tafuteni Plan B hiyo ni changamoto ya kawaida .
Elfu 90πππYeye anamshahara WA sh ngapi asitusumbue
MITA 1000Kwahiyo asepe au??
Utakuwa jambazi basi2
200000 watu wanaingiza Kwa masaa wengine Kwa sku ,
Mwalimu WA shule ya msingi anaeanza kaziMwalimu yupi huyo!? Mpwayungu Village!?