Tetesi: Mshahara wa mwezi huu July 2023, tutarajie makubwa!

Itakumbukwa katika sherehe za Mei mosi mwaka huu Mh. Rais aliahidi kurudisha annual increment kuanzia mwaka huu wa fedha. Nyongeza hiyo ya mwaka ilisimama kwa muda mrefu!
Binafsi sioni haja ya kutangaza makubwa hapa kwenye jukwaa kwani Unaweza kuwaweka watu roho juju na kufanya chochote watakachokipata wakione kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…