antimatter
JF-Expert Member
- Feb 26, 2017
- 47,274
- 126,778
Inaitwa vumbi bhanaπUdongo wa Kongo nisije nikababuka sehemu mie πππ
I swear to God, Mshahara ukiongezeka even another single day Nafwa jamani.
Ni shida kutegemea mshahara Ajitokeze jamani mtu uwiiiii mshaharaaa nafwaaa mimi.
Mshaharaaa uwiii
jamani sirikali inaona haya daah?Hivi bado matumaini ya salary kuingia leo yapo au ndio kesho kutwa?
Mambo ni magumu AiseeHivi bado matumaini ya salary kuingia leo yapo au ndio kesho kutwa?
Kalipe madeniJamani shukrani sana kuna wale walionitumia Maokoto ya pole na wale walionipa pole Pm mbarikiwe sana Mungu awzidishie na Mshhara tayari umetoka Nimefurahi π π
Ila walimuHivi bado matumaini ya salary kuingia leo yapo au ndio kesho kutwa?
Acha wivu[emoji23][emoji23][emoji23]Ila walimu
Really,umetoka?Jamani shukrani sana kuna wale walionitumia Maokoto ya pole na wale walionipa pole Pm mbarikiwe sana Mungu awzidishie na Mshhara tayari umetoka Nimefurahi π π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bado mkuu endelea kula tembele.Really,umetoka?
Kuna msela namdai
Ngoja wadau wengine nao waje kutoa ushuhuda mkuu,π€£π€£π€£[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]bado mkuu endelea kula tembele.
Ndyo umeshatoka mkuu nimeuona tangu saa moja natumia CRDB na nishautoa siku nyingiReally,umetoka?
Kuna msela namdai