Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

Mshahara wa Oktoba bado haujatoka, wafanyakazi tunalia njaa

I swear to God, Mshahara ukiongezeka even another single day Nafwa jamani.

Ni shida kutegemea mshahara Ajitokeze jamani mtu uwiiiii mshaharaaa nafwaaa mimi.

Mshaharaaa uwiii
Aisee bora waongeze tu ili ufe. Haiwezekani mpaka leo unafanya kazi kwenye nchi ya Chukua Chako Mapema kama hii, halafu huna shughuli nyingine ya kukuingizia kipato.

Wewe ni bure kabisa. Yaani unaishi kwa kutegemea mshahara mbuzi kwa 100%!!
 
mzabzab kumbe kaka angu unakopesha tena bila riba na Mimi sijui....miaka yote hii nataabika na mkopo pichu mkononi
🤣🤣🤣🤣 tatizo nyie kwa kuwa nina kibamia basi mnadhani na hela sina 🤣🤣🤣
Njoo upate mkopoo bila riba masai dada. Achana na hao wa pichu mkononi njoo kwangu unachotaka nitakupa.
 
Jamani shukrani sana kuna wale walionitumia Maokoto ya pole na wale walionipa pole Pm mbarikiwe sana Mungu awzidishie na Mshhara tayari umetoka Nimefurahi [emoji28][emoji28]
Aisee mbona wengine bado
 
Aisee bora waongeze tu ili ufe. Haiwezekani mpaka leo unafanya kazi kwenye nchi ya Chukua Chako Mapema kama hii, halafu huna shughuli nyingine ya kukuingizia kipato.

Wewe ni bure kabisa. Yaani unaishi kwa kutegemea mshahara mbuzi kwa 100%!!
Hahaha Tatzo huku Tuliko utaanzisha biashara Gani
 
Back
Top Bottom