johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
WautunzeAu wautunze waje kuutoa pamoja na was mwezi ujao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
WautunzeAu wautunze waje kuutoa pamoja na was mwezi ujao.
Upi?Mama anaupiga mwingi
Hahahaha..patachimbika.Wautunze
Hapana watoe kama waindi igote tarehe 31Au wautunze waje kuutoa pamoja na was mwezi ujao.
Hahaha. Watu watalimia meno.Hapana watoe kama waindi igote tarehe 31
Copaa Magaee ahahahaKuwa na huruma kaka mwigulu! Nakifa mnyiramba mwenzako
Mkuu vp tembo tayari ametema au bado .Hii comment sio ya mtumishi wa umma[emoji23][emoji23]
Kweli mkuu nguvu ya ziada inahitajika kujikomboa kiuchumiwengi wako hivyo mkuu mm niko taasisi wa chuo kikuu kuna prof ananiuliza vipi maokoto ha ha
Hapana kaka angu sijadangany Jana nimepata Maokoto Ya mshahara Nashukuru Mungu ila wangeongeza siku ningekufa...Umesaidiqa halafu bado unadanganya watu ,hiyo CRB ni wewe pekeyako?
Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
Ndyo maana hajui machungu tunayopitia huyoo😅😅Hii comment sio ya mtumishi wa umma[emoji23][emoji23]
Mbona tayari au Tamisemi imependelea Halmashauri yetu jaman 😅😅mshahara vipi jamani tumekopwa nini mwezi huu?