Montserrat
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 10,938
- 14,745
Habari za ndani, serikali imefilisika. Hela ya makusanyo imetumika kulipa faini za mahakama za nje ya nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hizi habari uwenda zinaukwel ndani yake maana sio kwa ukimya huuHabari za ndani, serikali imefilisika. Hela ya makusanyo imetumika kulipa faini za mahakama za nje ya nchi
Hata hela la activities kwenye taasisi zimeadimika kuna kitu sio bure.Habari za ndani, serikali imefilisika. Hela ya makusanyo imetumika kulipa faini za mahakama za nje ya nchi
Kweli aisee ,sijui kuna nini jikoni hukoHata hela la activities kwenye taasisi zimeadimika kuna kitu sio bure.
Na uhakika asilimia kubwa ya watumishi mshahara wa mwezi huu wote utaishia kwenye madeni..hali sio hali ninashangaa robo ya pili tunaianza hatujapata night safari hata moja ..per diem ya mwisho kula nilikula mwezi wa 5 ..Kweli aisee ,sijui kuna nini jikoni huko
Wiki ya pili mtu una saini hela hazina wanasema mambo bado ,sijui kuna nini huko .inabidi tubadili waziri wa fedha na ndugu zake woteNa uhakika asilimia kubwa ya watumishi mshahara wa mwezi huu wote utaishia kwenye madeni..hali sio hali ninashangaa robo ya pili tunaianza hatujapata night safari hata moja ..per diem ya mwisho kula nilikula mwezi wa 5 ..
Yaani ili tu stabilize tukae vzr achilia mbali madeni ya bank ila tu haya ya mtaani inabidi mtu uwe na million 1 mpk 2..ndo kidogo amani irudi la sivyo hata mshahara huu wote unapita tu shwaaaWiki ya pili mtu una saini hela hazina wanasema mambo bado ,sijui kuna nini huko .inabidi tubadili waziri wa fedha na ndugu zake wote
Nyie si ndo mlitulipua nyie kwwnye ule uzi wa "ALIYEAJIRIWA SERIKALINI NA ALIYEJIAJIRI KWA SALARY YA 1MIL"Yaani ili tu stabilize tukae vzr achilia mbali madeni ya bank ila tu haya ya mtaani inabidi mtu uwe na million 1 mpk 2..ndo kidogo amani irudi la sivyo hata mshahara huu wote unapita tu shwaaa
Kwanza tulijua mshahara tutapata Ijumaa au jumamosi ilaa mpaka leo bila bila ,ni dp world mkataba tumewapa sasa sijui shida niniYaani ili tu stabilize tukae vzr achilia mbali madeni ya bank ila tu haya ya mtaani inabidi mtu uwe na million 1 mpk 2..ndo kidogo amani irudi la sivyo hata mshahara huu wote unapita tu shwaaa
Sijakuelewa.hujui kama kuna masika na kiangazi hili ni suala la mpito hata hivyo na uhakika makusanyo hayakuwa mazuri hata mafungu mengine kutoka mifuko itaanza kuingia soon as possible week hii ijayo lazima wakuu wa vitengo wawe busy kuandaa activities so we mcheke mtumishi ila sio mwenzako mwezi ujao lazima akae vzr ata clear madeni yoteNyie si ndo mlitulipua nyie kwwnye ule uzi wa "ALIYEAJIRIWA SERIKALINI NA ALIYEJIAJIRI KWA SALARY YA 1MIL"
Sasa kuleni chuma hicho
Ha ha haaaaa, mkuu binafsi sina pesa ya msimuSijakuelewa.hujui kama kuna masika na kiangazi hili ni suala la mpito hata hivyo na uhakika makusanyo hayakuwa mazuri hata mafungu mengine kutoka mifuko itaanza kuingia soon as possible week hii ijayo lazima wakuu wa vitengo wawe busy kuandaa activities so we mcheke mtumishi ila sio mwenzako mwezi ujao lazima akae vzr ata clear madeni yote
Mkuu unamaanisha nnWazee huu mwezi mbona ni wa Ovyo namna hii... Leo ni siku ya 35
Watu hawajapata mishaharaMkuu unamaanisha nn