Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anaemuombea zaidi ya bashite!Amshukuru Mungu na sisi tunamuombea azidi kufanikiwa.
Hahahahahahahahah Wanyama anakula £ 65,000 pk Tottenham sio masihara.Nabisha,yaani Wanyama alipwe milioni 30 kwa wiki,yaani pound 11,000 kwa wiki?
Hizo hela SI wanalipwa wachezaji wa Granada na Ajax huko!!
*Mshahara wa Samatta
[emoji383] Mwaka - £2.6m (Tsh Bil 8)
[emoji383] Kwa Mwezi - £ 204,000 (Tsh Mil 610
[emoji383] Kwa wiki - £51,000 (Tsh Mil 153)
[emoji383] Kwa siku - £7285 (Tsh Mil 21)*
Ulaya ligi zote kwa wachezaji wa nje kodi ni zaidi ya 40%.
Kodi kwa ligi ya uingereza ni 45%,bado hapo kuna makato kwa ajili ya bima yake ya afya na familia yake unaweza ukakuta per week anachukua pound 20,000,ambazo sawa na milioni 60.
![]()
Footballers Salaries After Tax
2014 - 2015 football players Salaries after tax deduction in top league around europe list of amount of tax footballers have to pay on their weekly salarieswww.tsmplug.com
Ni Nyingi sana.Milion 60 hata Rais halipwi hiyo.
Ela nyingi hiyo.
Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii
Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..
90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Sawa Diva the boss ladyMkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii
Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..
90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Wewe kweli duwanzi..Diamond ampite Wanyama utajiriJamani msianze sasa kuwachonganisha tena hawa watoto! Mnataka kuanza kuwachonganisha tena kama mnavyofanya kwa Diamond na Ali Kiba? Wewe ulitakiwa ufurahi kwamba kijana mwingine mtanzania mwenye kipato kikubwa amepatikana, kwa hiyo ni fahari kwa Taifa letu. Usianze tena kumponda Diamond ambaye ndiye alikuwa anongoxza na si Tanzania tu bali Afrika Mashariki na pengine hata beyond. Kama wewe wakati unasoma shuleni kuna wakati ulibahatika kuwa wa kwanza Darasani kwenu, utakubaliana kabisa na mimikuwa 'BECOMING NUMBER ONE IS EASIER THAN REMAINING NUMBER ONE! Kuwa mtu wa kwanza ukiwa unaongoza kwenye medani fulani, ni rahisi zaidi kuliko kuendelea kuwa wa kwanza ukiongoza kwenye medani hiyo, hiyo ni ngumu kidogo. Kwa hiyo Diamond kupitwa na Samatta siyo kosa na wala msiwashabikie katika namna ambayo itawasababisha wawe maadui, washabikieni katika namana ambayo itawafanya wawe marafiki wa karibu zaidi, na vijana mnatakiwa muone fahari kwamba vijana wenzenu wanaweza kujipatia kipato halali kikubwa na wakalipa kodi kwa Serikali yenu, kipato kikubwa cha kutuzidi hata sisi wazee wenye miaka 60+ ambao tunapata chini ya 1m kwa mwezi> Mbarikiwe vijana.
Sasa ndugu yangu unamponda mtu ambaye anaweza kuwajengea nyumba standard ukoo wenu mzima,akawalisha na kuwasomesha miaka 10 mfululizo pamoja na kukulipia mahari wewe na dada zako wote...pambano boss wivu si jambo jema kwa afya yako.Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii
Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..
90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Wivu ni donda sugu la moyo mkuu RELAX utakufa na mawazoMkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii
Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..
90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
vipi mkuu na je Mshahara wa Samatta kwa week ni sawa na wa kwako mara ngapi?Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii
Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..
90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.
Kwa kile kinachotokea katika maisha ya samatta kwa sasa ndio pale mzazi anapiga goti na kusema asante MUNGU kwa kunipa jembe.Mkwanja anaovuta Samatta kwa Wiki Domo anausotea Miezi 4-5, Huyu ndo inapaswa ajengewe Sanamu kwa kulitangaza Nchi Kimataifa na kuiongeze nchi kipato kwenye Sekta ya Utalii
Eti Diamond ajengewe Sanamu kwa lipi haswa aliolifanya? Labda akajengewe huko Kwao kigoma..
90% ya Vishabiki vya WCB ni Vi slay queen na Visharobaro uchwara,.