Mshambuliaji wa KMC FC Mateo Antony, wewe ni 'Mnafiki' na zaidi ya 'Yuda Iskarioti' katika Biblia

Mshambuliaji wa KMC FC Mateo Antony, wewe ni 'Mnafiki' na zaidi ya 'Yuda Iskarioti' katika Biblia

Na usije tena maskani yetu Tegeta kwa swahiba wako mkuu na bingwa wa kucheza mechi za Ndondo Tanzania nzima Kudra Omary.

Binafsi kama mwana maskani wako hapo leo nakwambia nakuchukia rasmi kwa kuendekeza Uyanga wako na siyo kucheza mpira na kuisaidia timu yako ya KMC FC ipate ushindi dhidi ya Yanga SC.

Mateo Antony nakujua uwezo wako mkubwa wa mpira ulionao ila leo kwa makusudi, kwa Uyanga wako na mapenzi yako ya kujipendekeza kwa Yanga SC na matajiri wao wakuu GSM kwa makusudi ulikuwa unaua muvu za magoli.

Unachelewa kutoa pasi huku kwa kudhamiria kabisa ukicheza rafu za kipumbavu ili upate kadi nyekundu kisha utolewe na uidhoofishe KMC FC yako na ifungwe kiurahisi na Yanga SC.

Ulivyo mnafiki kila ukijua KMC FC inakutana/inacheza na Simba SC hata kama ukiwa majeraha huwa unalazimisha upangwe ucheze hata kwa kupigwa sindano ya ganzi!

Na huwa Unahangaika kwa kuhaha huku na kule mpaka kutufunga Simba SC, ila ukicheza na Yanga SC huwa unajivunja makusudi kiuchezaji na kucheza chini ya kiwango chako kama leo.

Kwanini humuigi mchezaji mwenzako wa KMC FC (na mwana Yanga SC lia lia) beki na nahodha wako msaidizi Andrew Vicent Dante Chikupe, ambaye kila akikutana na Yanga SC anayoipenda moyoni huwa anaikazia na kucheza kazi kazi muda wote mpaka kutufurahisha na sisi wengine?

Mnafiki mkubwa wewe, si utakuja kesho au wikiendi hapo (pale) maskani kwetu ambapo kwa hivi ulivyonikera ukija tu na kutaka kuivuta ile kitu yako kali, urithi wa Hayati Bob Marley hakyanani safari hii nakulengesha (nakuchoma) kwa polisi wa Tegeta ili Wakukamate.

Na kwa jinsi mdomo wako ulivyo mweusi na macho yako muda wote kuwa mekundu hutowakwepa polisi wapelelezi wa hapo na utaozea keko au segerea.

Umenikera mno tu, na usije maskani!
Kanye umalize hasira
 
Na usije tena maskani yetu Tegeta kwa swahiba wako mkuu na bingwa wa kucheza mechi za Ndondo Tanzania nzima Kudra Omary.

Binafsi kama mwana maskani wako hapo leo nakwambia nakuchukia rasmi kwa kuendekeza Uyanga wako na siyo kucheza mpira na kuisaidia timu yako ya KMC FC ipate ushindi dhidi ya Yanga SC.

Mateo Antony nakujua uwezo wako mkubwa wa mpira ulionao ila leo kwa makusudi, kwa Uyanga wako na mapenzi yako ya kujipendekeza kwa Yanga SC na matajiri wao wakuu GSM kwa makusudi ulikuwa unaua muvu za magoli.

Unachelewa kutoa pasi huku kwa kudhamiria kabisa ukicheza rafu za kipumbavu ili upate kadi nyekundu kisha utolewe na uidhoofishe KMC FC yako na ifungwe kiurahisi na Yanga SC.

Ulivyo mnafiki kila ukijua KMC FC inakutana/inacheza na Simba SC hata kama ukiwa majeraha huwa unalazimisha upangwe ucheze hata kwa kupigwa sindano ya ganzi!

Na huwa Unahangaika kwa kuhaha huku na kule mpaka kutufunga Simba SC, ila ukicheza na Yanga SC huwa unajivunja makusudi kiuchezaji na kucheza chini ya kiwango chako kama leo.

Kwanini humuigi mchezaji mwenzako wa KMC FC (na mwana Yanga SC lia lia) beki na nahodha wako msaidizi Andrew Vicent Dante Chikupe, ambaye kila akikutana na Yanga SC anayoipenda moyoni huwa anaikazia na kucheza kazi kazi muda wote mpaka kutufurahisha na sisi wengine?

Mnafiki mkubwa wewe, si utakuja kesho au wikiendi hapo (pale) maskani kwetu ambapo kwa hivi ulivyonikera ukija tu na kutaka kuivuta ile kitu yako kali, urithi wa Hayati Bob Marley hakyanani safari hii nakulengesha (nakuchoma) kwa polisi wa Tegeta ili Wakukamate.

Na kwa jinsi mdomo wako ulivyo mweusi na macho yako muda wote kuwa mekundu hutowakwepa polisi wapelelezi wa hapo na utaozea keko au segerea.

Umenikera mno tu, na usije maskani!

Ile heshima niliyokupa imeshuka, sio busara hii, wewe Uko gizani, unamsimanga mwenzako hivi?

KMC wamecheza vizuri sana Jana, nawapongeza kwa kweli, mengine basi tu wamezidiwa.
 
Kwanza huna busara!! Nakushangaa sana!! Palikuwa na haja gani ya kumdhalilisha kijana wa Watu!!??
We inabidi uchunguzwe ufahamu wako.
Huyu jamaa wa hovyo sana.Anajiita geneous na msomi ilihali amezama katika ujinga uliokithiri,anaamini Sana shirikh na mpenda majungu.Anadai ana connection kibao ilhali bado anakaa uswekeni.Kwanini asitumie muda na connection kutengeneza maisha yake?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Na usije tena maskani yetu Tegeta kwa swahiba wako mkuu na bingwa wa kucheza mechi za Ndondo Tanzania nzima Kudra Omary.

Binafsi kama mwana maskani wako hapo leo nakwambia nakuchukia rasmi kwa kuendekeza Uyanga wako na siyo kucheza mpira na kuisaidia timu yako ya KMC FC ipate ushindi dhidi ya Yanga SC.

Mateo Antony nakujua uwezo wako mkubwa wa mpira ulionao ila leo kwa makusudi, kwa Uyanga wako na mapenzi yako ya kujipendekeza kwa Yanga SC na matajiri wao wakuu GSM kwa makusudi ulikuwa unaua muvu za magoli.

Unachelewa kutoa pasi huku kwa kudhamiria kabisa ukicheza rafu za kipumbavu ili upate kadi nyekundu kisha utolewe na uidhoofishe KMC FC yako na ifungwe kiurahisi na Yanga SC.

Ulivyo mnafiki kila ukijua KMC FC inakutana/inacheza na Simba SC hata kama ukiwa majeraha huwa unalazimisha upangwe ucheze hata kwa kupigwa sindano ya ganzi!

Na huwa Unahangaika kwa kuhaha huku na kule mpaka kutufunga Simba SC, ila ukicheza na Yanga SC huwa unajivunja makusudi kiuchezaji na kucheza chini ya kiwango chako kama leo.

Kwanini humuigi mchezaji mwenzako wa KMC FC (na mwana Yanga SC lia lia) beki na nahodha wako msaidizi Andrew Vicent Dante Chikupe, ambaye kila akikutana na Yanga SC anayoipenda moyoni huwa anaikazia na kucheza kazi kazi muda wote mpaka kutufurahisha na sisi wengine?

Mnafiki mkubwa wewe, si utakuja kesho au wikiendi hapo (pale) maskani kwetu ambapo kwa hivi ulivyonikera ukija tu na kutaka kuivuta ile kitu yako kali, urithi wa Hayati Bob Marley hakyanani safari hii nakulengesha (nakuchoma) kwa polisi wa Tegeta ili Wakukamate.

Na kwa jinsi mdomo wako ulivyo mweusi na macho yako muda wote kuwa mekundu hutowakwepa polisi wapelelezi wa hapo na utaozea keko au segerea.

Umenikera mno tu, na usije maskani!
Pumba tupu huenda umeamka nazo weye si bure.
 
Aliposema tu "anavuta kali, urithi wa Bob Marley" nikaacha kusoma post, nikajua wenzake watakuwa wamemchanganyia ile na mzizi wa mtama mwekundu.
Walio karibu wamwagie maji ya baridi kichwani
 
Na usije tena maskani yetu Tegeta kwa swahiba wako mkuu na bingwa wa kucheza mechi za Ndondo Tanzania nzima Kudra Omary.

Binafsi kama mwana maskani wako hapo leo nakwambia nakuchukia rasmi kwa kuendekeza Uyanga wako na siyo kucheza mpira na kuisaidia timu yako ya KMC FC ipate ushindi dhidi ya Yanga SC.

Mateo Antony nakujua uwezo wako mkubwa wa mpira ulionao ila leo kwa makusudi, kwa Uyanga wako na mapenzi yako ya kujipendekeza kwa Yanga SC na matajiri wao wakuu GSM kwa makusudi ulikuwa unaua muvu za magoli.

Unachelewa kutoa pasi huku kwa kudhamiria kabisa ukicheza rafu za kipumbavu ili upate kadi nyekundu kisha utolewe na uidhoofishe KMC FC yako na ifungwe kiurahisi na Yanga SC.

Ulivyo mnafiki kila ukijua KMC FC inakutana/inacheza na Simba SC hata kama ukiwa majeraha huwa unalazimisha upangwe ucheze hata kwa kupigwa sindano ya ganzi!

Na huwa Unahangaika kwa kuhaha huku na kule mpaka kutufunga Simba SC, ila ukicheza na Yanga SC huwa unajivunja makusudi kiuchezaji na kucheza chini ya kiwango chako kama leo.

Kwanini humuigi mchezaji mwenzako wa KMC FC (na mwana Yanga SC lia lia) beki na nahodha wako msaidizi Andrew Vicent Dante Chikupe, ambaye kila akikutana na Yanga SC anayoipenda moyoni huwa anaikazia na kucheza kazi kazi muda wote mpaka kutufurahisha na sisi wengine?

Mnafiki mkubwa wewe, si utakuja kesho au wikiendi hapo (pale) maskani kwetu ambapo kwa hivi ulivyonikera ukija tu na kutaka kuivuta ile kitu yako kali, urithi wa Hayati Bob Marley hakyanani safari hii nakulengesha (nakuchoma) kwa polisi wa Tegeta ili Wakukamate.

Na kwa jinsi mdomo wako ulivyo mweusi na macho yako muda wote kuwa mekundu hutowakwepa polisi wapelelezi wa hapo na utaozea keko au segerea.

Umenikera mno tu, na usije maskani!

GENTAMYCINE ni taasisi isiyofungamana na upande wowote.​

 
Na usije tena maskani yetu Tegeta kwa swahiba wako mkuu na bingwa wa kucheza mechi za Ndondo Tanzania nzima Kudra Omary.

Binafsi kama mwana maskani wako hapo leo nakwambia nakuchukia rasmi kwa kuendekeza Uyanga wako na siyo kucheza mpira na kuisaidia timu yako ya KMC FC ipate ushindi dhidi ya Yanga SC.

Mateo Antony nakujua uwezo wako mkubwa wa mpira ulionao ila leo kwa makusudi, kwa Uyanga wako na mapenzi yako ya kujipendekeza kwa Yanga SC na matajiri wao wakuu GSM kwa makusudi ulikuwa unaua muvu za magoli.

Unachelewa kutoa pasi huku kwa kudhamiria kabisa ukicheza rafu za kipumbavu ili upate kadi nyekundu kisha utolewe na uidhoofishe KMC FC yako na ifungwe kiurahisi na Yanga SC.

Ulivyo mnafiki kila ukijua KMC FC inakutana/inacheza na Simba SC hata kama ukiwa majeraha huwa unalazimisha upangwe ucheze hata kwa kupigwa sindano ya ganzi!

Na huwa Unahangaika kwa kuhaha huku na kule mpaka kutufunga Simba SC, ila ukicheza na Yanga SC huwa unajivunja makusudi kiuchezaji na kucheza chini ya kiwango chako kama leo.

Kwanini humuigi mchezaji mwenzako wa KMC FC (na mwana Yanga SC lia lia) beki na nahodha wako msaidizi Andrew Vicent Dante Chikupe, ambaye kila akikutana na Yanga SC anayoipenda moyoni huwa anaikazia na kucheza kazi kazi muda wote mpaka kutufurahisha na sisi wengine?

Mnafiki mkubwa wewe, si utakuja kesho au wikiendi hapo (pale) maskani kwetu ambapo kwa hivi ulivyonikera ukija tu na kutaka kuivuta ile kitu yako kali, urithi wa Hayati Bob Marley hakyanani safari hii nakulengesha (nakuchoma) kwa polisi wa Tegeta ili Wakukamate.

Na kwa jinsi mdomo wako ulivyo mweusi na macho yako muda wote kuwa mekundu hutowakwepa polisi wapelelezi wa hapo na utaozea keko au segerea.

Umenikera mno tu, na usije maskani!
Kama wewe ulivyouzaga mechi ya mascom kwa duche kisa demu wa duche

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom