Mshambuliaji wa KMC FC Mateo Antony, wewe ni 'Mnafiki' na zaidi ya 'Yuda Iskarioti' katika Biblia

Kanye umalize hasira
 

Ile heshima niliyokupa imeshuka, sio busara hii, wewe Uko gizani, unamsimanga mwenzako hivi?

KMC wamecheza vizuri sana Jana, nawapongeza kwa kweli, mengine basi tu wamezidiwa.
 
Kwanza huna busara!! Nakushangaa sana!! Palikuwa na haja gani ya kumdhalilisha kijana wa Watu!!??
We inabidi uchunguzwe ufahamu wako.
Huyu jamaa wa hovyo sana.Anajiita geneous na msomi ilihali amezama katika ujinga uliokithiri,anaamini Sana shirikh na mpenda majungu.Anadai ana connection kibao ilhali bado anakaa uswekeni.Kwanini asitumie muda na connection kutengeneza maisha yake?

Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
 
Pumba tupu huenda umeamka nazo weye si bure.
 
Aliposema tu "anavuta kali, urithi wa Bob Marley" nikaacha kusoma post, nikajua wenzake watakuwa wamemchanganyia ile na mzizi wa mtama mwekundu.
Walio karibu wamwagie maji ya baridi kichwani
 

GENTAMYCINE ni taasisi isiyofungamana na upande wowote.​

 
Kama wewe ulivyouzaga mechi ya mascom kwa duche kisa demu wa duche

Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…