Mshana JR amebadilisha maisha yangu, vijana wenzangu mtumieni mshana JR kabla hajaondoka duniani

Mshana JR amebadilisha maisha yangu, vijana wenzangu mtumieni mshana JR kabla hajaondoka duniani

Mwaka 2020 nilipitia hali ngumu sana kiuchumi hali iliyonilazimu kuondoka nyumbani.

Huko nilipoenda, maisha hayakunipa furaha. Nilikuwa na simu smart nzima kabisa, ilinilazimu kuiza tsh 8,000 (elfu nane) ili kukimu familia. Wakati huo wife kajifungua ana wiki 2 tu na korona ndio imepamba moto (ilikuwa wiki ya kwanza ya mwezi wa nne). Mtu ambaye alikuwa akinitia moyo ni Mshana Jr


Ilifika mahali nikakata tamaa sina tumaini. Nilimuomba niende dar angalau anisaidie nipambane. Alikubali, nikakopa nauli nikaanza safari. Ninao ndugu dar lakini walijitenga nami,. Lakini huyu Mshana alinipokea, alitoa kiasi cha pesa tsh 750,000 ninunue vifaa vya kazi (mtaji) na tsh 100,000 kama kodi ya frem. Sio kwamba yeye ni tajiri saaaaaana, hapana. Alitoa pesa ambyo haya yey kwa wakati ule alikuwa akiihitaji zaidi. Japo kikazi kuna sehemu hatukufika malengo, lakini Mungu alinisaidia kuvukq kipindi cha mpito kupitia kwa Mshana. Brother alinipambania sana wakati hata nyumbani kwetu hapajui zaidi ya kuniona jf.

Ilinilazimu tena kulikimbia jiji baada ya mambo kwenda mrama, lakini angalau nilivuka wakati mgumu. @mshanni hazina, na kutoka moyoni bila unafiki wala kumkweza nasema Asante, pia aniwie radhi kwa changamoto zilizojitokeza nami ni mwanadamu.

Mbali na kutoa pesa yote hiyo ambayo nikiweka na matumizi mengine ya mwanzo inazidi milioni moja na ushee, sijawahi kuona ama kusikia akijinasibu sehemu yoyote. Anaishi kama vile hakuna kitu amefanya. No camera, No show off. Wema ni akiba brother, kuna siku utapokea mafao hapa hapa duniani. Mungu akutunze na akupe mwisho mwema wenye kuona matunda ya ulichokipqndq kwa watu na mavuno yako yakajae na kusukwasukwa. Kazi za mikono yako zibarikiwe.

NB: sijatumwa kuandika haya, wala sijaandika haya kusifia. Nimeamua kusema ya moyoni ambayo sikuwahi kuandika popote pale. Na kama nitakuwa nimemkwazq yeyote pia, anisamehe
β€β€πŸ™πŸΎπŸ’ͺ🏿
Never regret a day in your life_ good days give ha.jpeg
 
Habari wakuu!

Nikama wiki mbili zimepita nilipata depression, frastruation na kukata tamaa kabisa kwenye Maisha, Hali iliyopelekea kutaka kunywa pombe kuvuta bangi nikiamini ntakuwa sawa.

Nilituma post humu JF juu ya Hali ninayopita Lakini cha ajabu ndugu yangu mshana jr alichukulia uzito wakati ninaopitia, akanambia fanya tuonane, nilifurahi Sana mana ilikuwa ndoto yangu kuonana na mkuu mshana jr.

Mazungumzo yalikuwa ya masaaa 3 maeneo X hapa dar es salaam.
Aisee nilipata counseling ya kutosha
Kuhusu

1.Afya
2.Imani
3.Mahusiano.
4.Uchumi

Aisee baada ya hapo nimekuwa MTU mpya.

Vijana wenzangu 20 kuendelea mtumieni mshana jr kabla hajaondoka duniani.
(Pokea Maua yako mshana jr)
Mimi Sio babalevo
Mimi Sio mwijaku
Mimi Sio doto magari

Mimi ni mtupori_tz
Havachee
 
Habari wakuu!

Nikama wiki mbili zimepita nilipata depression, frastruation na kukata tamaa kabisa kwenye Maisha, Hali iliyopelekea kutaka kunywa pombe kuvuta bangi nikiamini ntakuwa sawa.

Nilituma post humu JF juu ya Hali ninayopita Lakini cha ajabu ndugu yangu mshana jr alichukulia uzito wakati ninaopitia, akanambia fanya tuonane, nilifurahi Sana mana ilikuwa ndoto yangu kuonana na mkuu mshana jr.

Mazungumzo yalikuwa ya masaaa 3 maeneo X hapa dar es salaam.
Aisee nilipata counseling ya kutosha
Kuhusu

1.Afya
2.Imani
3.Mahusiano.
4.Uchumi

Aisee baada ya hapo nimekuwa MTU mpya.

Vijana wenzangu 20 kuendelea mtumieni mshana jr kabla hajaondoka duniani.
(Pokea Maua yako mshana jr)
Mimi Sio babalevo
Mimi Sio mwijaku
Mimi Sio doto magari

Mimi ni mtupori_tz
Mshana Jr ishi sana popote ulipo namimi ni hitaji la moyo wangu siku nikutane nawewe japo dk30 tu.
 
Habari wakuu!

Nikama wiki mbili zimepita nilipata depression, frastruation na kukata tamaa kabisa kwenye Maisha, Hali iliyopelekea kutaka kunywa pombe kuvuta bangi nikiamini ntakuwa sawa.

Nilituma post humu JF juu ya Hali ninayopita Lakini cha ajabu ndugu yangu mshana jr alichukulia uzito wakati ninaopitia, akanambia fanya tuonane, nilifurahi Sana mana ilikuwa ndoto yangu kuonana na mkuu mshana jr.

Mazungumzo yalikuwa ya masaaa 3 maeneo X hapa dar es salaam.
Aisee nilipata counseling ya kutosha
Kuhusu

1.Afya
2.Imani
3.Mahusiano.
4.Uchumi

Aisee baada ya hapo nimekuwa MTU mpya.

Vijana wenzangu 20 kuendelea mtumieni mshana jr kabla hajaondoka duniani.
(Pokea Maua yako mshana jr)
Mimi Sio babalevo
Mimi Sio mwijaku
Mimi Sio doto magari

Mimi ni mtupori_tz
Mtani Mshana Jr unasifiwa huku
 
Habari wakuu!

Nikama wiki mbili zimepita nilipata depression, frastruation na kukata tamaa kabisa kwenye Maisha, Hali iliyopelekea kutaka kunywa pombe kuvuta bangi nikiamini ntakuwa sawa.

Nilituma post humu JF juu ya Hali ninayopita Lakini cha ajabu ndugu yangu mshana jr alichukulia uzito wakati ninaopitia, akanambia fanya tuonane, nilifurahi Sana mana ilikuwa ndoto yangu kuonana na mkuu mshana jr.

Mazungumzo yalikuwa ya masaaa 3 maeneo X hapa dar es salaam.
Aisee nilipata counseling ya kutosha
Kuhusu

1.Afya
2.Imani
3.Mahusiano.
4.Uchumi

Aisee baada ya hapo nimekuwa MTU mpya.

Vijana wenzangu 20 kuendelea mtumieni mshana jr kabla hajaondoka duniani.
(Pokea Maua yako mshana jr)
Mimi Sio babalevo
Mimi Sio mwijaku
Mimi Sio doto magari

Mimi ni mtupori_tz
Huyo mwamba si alikuwaga mchawi? Labda likuwezeshe kuwa mchawi!😁😁😁
 
Hakika Wakuu !
Legend Mshana Jr ni mtu poa sana, hajivungi wala haringi kupokea simu anytime ukimpigia na anapokea kwa unyenyekevu kabisa.

Ni mtu mwenye roho nzuri na anayeweza kukusaidia kupata ufumbuzi wa changamoto zako, haringi wala hajivuni kabisa. Hata kama yupo busy namna gani atakupokelea simu yako tu na kukutaka radhi na atakuambia nicheki muda fulani.

Siwezi kuelezea mengi lakini ndugu Mshana Jr ni mtu muhimu sana na ni mwelevu wa vitu vingi sana.
Uko sahihi kabisa na ni mkarimu sana - ana utu!
 
Habari wakuu!

Nikama wiki mbili zimepita nilipata depression, frastruation na kukata tamaa kabisa kwenye Maisha, Hali iliyopelekea kutaka kunywa pombe kuvuta bangi nikiamini ntakuwa sawa.

Nilituma post humu JF juu ya Hali ninayopita Lakini cha ajabu ndugu yangu mshana jr alichukulia uzito wakati ninaopitia, akanambia fanya tuonane, nilifurahi Sana mana ilikuwa ndoto yangu kuonana na mkuu mshana jr.

Mazungumzo yalikuwa ya masaaa 3 maeneo X hapa dar es salaam.
Aisee nilipata counseling ya kutosha
Kuhusu

1.Afya
2.Imani
3.Mahusiano.
4.Uchumi

Aisee baada ya hapo nimekuwa MTU mpya.

Vijana wenzangu 20 kuendelea mtumieni mshana jr kabla hajaondoka duniani.
(Pokea Maua yako mshana jr)
Mimi Sio babalevo
Mimi Sio mwijaku
Mimi Sio doto magari

Mimi ni mtupori_tz
Mshana Jr ni mtu na nusu.. Aisee sitamsahau kabisa those years 2017 alinisaidia sana sana.. Hakuchoka kunipa mawazo na tena kwa roho nyeupe sana bila hata kumjua.. Mwenyezi Mungu aendelee kumpa kila lililo la heri.
 
Mwaka 2020 nilipitia hali ngumu sana kiuchumi hali iliyonilazimu kuondoka nyumbani.

Huko nilipoenda, maisha hayakunipa furaha. Nilikuwa na simu smart nzima kabisa, ilinilazimu kuiza tsh 8,000 (elfu nane) ili kukimu familia. Wakati huo wife kajifungua ana wiki 2 tu na korona ndio imepamba moto (ilikuwa wiki ya kwanza ya mwezi wa nne). Mtu ambaye alikuwa akinitia moyo ni Mshana Jr


Ilifika mahali nikakata tamaa sina tumaini. Nilimuomba niende dar angalau anisaidie nipambane. Alikubali, nikakopa nauli nikaanza safari. Ninao ndugu dar lakini walijitenga nami,. Lakini huyu Mshana alinipokea, alitoa kiasi cha pesa tsh 750,000 ninunue vifaa vya kazi (mtaji) na tsh 100,000 kama kodi ya frem. Sio kwamba yeye ni tajiri saaaaaana, hapana. Alitoa pesa ambyo haya yey kwa wakati ule alikuwa akiihitaji zaidi. Japo kikazi kuna sehemu hatukufika malengo, lakini Mungu alinisaidia kuvukq kipindi cha mpito kupitia kwa Mshana. Brother alinipambania sana wakati hata nyumbani kwetu hapajui zaidi ya kuniona jf.

Ilinilazimu tena kulikimbia jiji baada ya mambo kwenda mrama, lakini angalau nilivuka wakati mgumu. @mshanni hazina, na kutoka moyoni bila unafiki wala kumkweza nasema Asante, pia aniwie radhi kwa changamoto zilizojitokeza nami ni mwanadamu.

Mbali na kutoa pesa yote hiyo ambayo nikiweka na matumizi mengine ya mwanzo inazidi milioni moja na ushee, sijawahi kuona ama kusikia akijinasibu sehemu yoyote. Anaishi kama vile hakuna kitu amefanya. No camera, No show off. Wema ni akiba brother, kuna siku utapokea mafao hapa hapa duniani. Mungu akutunze na akupe mwisho mwema wenye kuona matunda ya ulichokipqndq kwa watu na mavuno yako yakajae na kusukwasukwa. Kazi za mikono yako zibarikiwe.

NB: sijatumwa kuandika haya, wala sijaandika haya kusifia. Nimeamua kusema ya moyoni ambayo sikuwahi kuandika popote pale. Na kama nitakuwa nimemkwazq yeyote pia, anisamehe
Nakuelewa na naamini ulichoandika ni ukweli mtupu maana namjua sana Mshana Jr alivyo na utu (Huruma, Ukarimu, Kujali na Utumishi wake kwa wengine). Pia ni mzalendo mahiri na jasiri wa nchi yetu Tanganyika.
 
Back
Top Bottom