Mshana Jr. ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JamiiForums

Mshana Jr. ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JamiiForums

Ramadhan Kareem.
Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.

Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.

Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.

Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.

Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.

Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.

Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.

Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu
Aissee kaka Mshana Jr njoo kuna limoyo limekudondokea hapa

Hivi Jemima Mrembo shemeji alikuzinfuka baada ya kutudi na vichopsi vichache?
 
Aissee kaka Mshana Jr njoo kuna limoyo limekudondokea hapa

Hivi Jemima Mrembo shemeji alikuzinfuka baada ya kutudi na vichopsi vichache?
[emoji16]“Everyone who crosses our path has a message for us. Otherwise they would have taken another path, or left earlier or later. The fact that these people are here means that they are here for some reason.”

FB_IMG_1680065942804.jpg
 
Back
Top Bottom