Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hutaingia mlangoni [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2089]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona amekaa ni waifu matirio jamani..??
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Umeshamsamehe kwa kurudi amelewa na kukuletea chipsi kavu???ameshakuonyesha kibunda umebadilika gafla mnoo,,,kama sio wewe!!
[emoji16][emoji16][emoji16]Mshana ushaanza kuloga mishangazi yetu
Parody kivipi 🤔Subirini kwanza....
Mna uhakika hili sio parody la Mshana?
Uchawi tena🤣🤣🤣🤣Ramadhan Kareem.
Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.
Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.
Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.
Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.
Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.
Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.
Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.
Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu