Mshana Jr. ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JamiiForums

Mshana Jr. ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JamiiForums

Utani ni muhimu mtani ili maisjs yaendelee😂🤣🤣🤣🤣
Dah hapo sawa maana nshasingiziwa sana [emoji23]nimeifuta na post yenyewe
Tunataniana,tunapongezana,tunabishana na tunakosoana.Then maisha yanaendelea.Wewe mtani wangu bhana lazima nikutanie😂🤣🤣🤣Be easy👀👀👀
 
Ramadhan Kareem.
Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.

Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.

Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.

Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.

Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.

Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.

Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.

Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu
Mpatieni hata million tano tuone thaman yake, sio maneno matupu.

Vilevile msije mkamuambukiza ukimwi na mapenzi yenu yasio tangiable
 
Ushafika mbio mbio tajiri wangu,😂😂

twenzetu tukajiandae kuishangilia Taifa Starz huko..!!
Chap sana mwendo wa chopper 😂😂 nilikuwa tu hapo around 🏃‍♂️🏃‍♂️

19:45 😂😂 nitakuwa sijalala kweli maana nishaanza kusinzia hapa.. kimvua kinanidanganya danganya
 
Chap sana mwendo wa chopper 😂😂 nilikuwa tu hapo around 🏃‍♂️🏃‍♂️

19:45 😂😂 nitakuwa sijalala kweli maana nishaanza kusinzia hapa.. kimvua kinanidanganya danganya
😂😂😂
Kheeeh' utakuwa umekula kweli..??
 
Utani ni muhimu mtani ili maisjs yaendelee[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Tunataniana,tunapongezana,tunabishana na tunakosoana.Then maisha yanaendelea.Wewe mtani wangu bhana lazima nikutanie[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Be easy[emoji102][emoji102][emoji102]
Thanks again.. My apology for misconception
 
Back
Top Bottom