Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na maradhi yapo piaKweli dawa zipo
Eka Mghoshi nikusaghie nhgunguni kwe uyu mndee. 😃Osie kaje kibweshu...[emoji23]
Nenkutoe kisimo cha banyanyi n'mweako..[emoji23]Eka Mghoshi nikusaghie nhgunguni kwe uyu mndee. [emoji2]
Huu ni wivu mkuu[emoji1787][emoji1787]
Tayari utelezi ushaanza😂😂😂😂😂Na haka kamvua haka..
Mshana unajipakulia minyama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tayari mbona [emoji23]
......hakikisha umeongea nae kwanza, nisije kula za uso aisee .......Nakupa Miss Natafuta akupende na kukupendua usiku na mchana
Mmmh weeee
JamiiForums nzima wewe ndio uko very negative person. UMUGHAKA ulimchukia bila sababu, kuna dogo mwingine ana hadithi ya kichawi, naye unamchukia unnecessarily. Hebu tuambie tatizo lako li nasababishwa na nini?ITAKUWA NI.....
1. ID ya mshana nyingine
2. Mchepuko
3. Mwanamke ambaye amekosa mume au boyfriend sasa anatafuta kwa namna yake.
Kwa mwanamke smart na ambaye si mpweke wa kiakili hawezi anzisha uzi kama huu.
.......umegusia zongo mkuu, kwani huyu Jamaa bado mchawi!??....Achana na Mshana Jr wewe! Huyo mimi namfahamu. Ataishia tu kukupiga kisimo na zongo. Halafu isitoshe ana itikadi za kichadema na ni shabiki wa timu mbovu kama simba!
Nishabikie mimi basi ili nikununulie Range Rover nyekundu.
Hahahah[emoji23]......hakikisha umeongea nae kwanza, nisije kula za uso aisee .......
Mi sijawahi mchukia mtu humu ndani. Wote nawapenda na kuwajali. Magaka sikumbuki ilikuwa nini na huyo dogo mwingine ana hadithi gani? Mi napenda watu wawe wakweliJamiiForums nzima wewe ndio uko very negative person. UMUGHAKA ulimchukia bila sababu, kuna dogo mwingine ana hadithi ya kichawi, naye unamchukia unnecessarily. Hebu tuambie tatizo lako li nasababishwa na nini?
Verified!Ramadhan Kareem.
Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.
Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.
Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.
Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.
Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.
Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.
Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.
Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu
Ramadhan Kareem.
Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.
Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.
Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.
Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.
Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.
Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.
Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.
Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu