Jemima Mrembo
JF-Expert Member
- Jul 19, 2021
- 2,864
- 8,328
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
......inawezekana hawa washindi walilipwa mamilioni kama ya kina Idris, manake sio kwa hali hii.......by the way hongera brother sifa hizi haziji bure hata kama watu watabeza na kukejeli, ukizingatia kwamba mtoa hoja ni wa kike, basi kila mtu atasema lake......kikubwa ndugu zangu tujifunze kuwa watu wenye michango chanya na yenye tija kwenye jamii kama wenzetu kina Mshana Jr, am sure huyu Jamaa atakuwa pia ni mtu anaekubalika watu hata nje ya jf i.e ofisini kwake, mtaani na hata ktk familia yake, once again hongereni washindi wote wa tuzo za jf ......kuanzia kesho na mimi naanza kuwa mwenye mvuto ili nipendwe na Jemima na wenzake.......
kuanzia kesho na mimi naanza kuwa mwenye mvuto ili nipendwe na Jemima na wenzake.......[emoji23][emoji817][emoji818]......inawezekana hawa washindi walilipwa mamilioni kama ya kina Idris, manake sio kwa hali hii.......by the way hongera brother sifa hizi haziji bure hata kama watu watabeza na kukejeli, ukizingatia kwamba mtoa hoja ni wa kike, basi kila mtu atasema lake......kikubwa ndugu zangu tujifunze kuwa watu wenye michango chanya na yenye tija kwenye jamii kama wenzetu kina Mshana Jr, am sure huyu Jamaa atakuwa pia ni mtu anaekubalika watu hata nje ya jf i.e ofisini kwake, mtaani na hata ktk familia yake, once again hongereni washindi wote wa tuzo za jf ......kuanzia kesho na mimi naanza kuwa mwenye mvuto ili nipendwe na Jemima na wenzake.......
......inawezekana hawa washindi walilipwa mamilioni kama ya kina Idris, manake sio kwa hali hii.......by the way hongera brother sifa hizi haziji bure hata kama watu watabeza na kukejeli, ukizingatia kwamba mtoa hoja ni wa kike, basi kila mtu atasema lake......kikubwa ndugu zangu tujifunze kuwa watu wenye michango chanya na yenye tija kwenye jamii kama wenzetu kina Mshana Jr, am sure huyu Jamaa atakuwa pia ni mtu anaekubalika watu hata nje ya jf i.e ofisini kwake, mtaani na hata ktk familia yake, once again hongereni washindi wote wa tuzo za jf ......kuanzia kesho na mimi naanza kuwa mwenye mvuto ili nipendwe na Jemima na wenzake.......
Osie kaje kibweshu...[emoji23]Achana na Mshana Jr wewe! Huyo mimi namfahamu. Ataishia tu kukupiga kisimo na zongo. Halafu isitoshe ana itikadi za kichadema na ni shabiki wa timu mbovu kama simba!
Nishabikie mimi basi ili nikununulie Range Rover nyekundu.
Mwambie akuinamishe sasaRamadhan Kareem.
Bwana Mshana Jr ndiye mwanaume mwenye mivuto kuliko wote hapa jamvini.
Mshana Jr huwezi kumuweka kwenye viwango vya kina mpwayungu village , GuDume, @dr hayaland nk.
Mshana Jr ana post zenye wachangiaji wengi kuliko maelezo. Post zake zina madini makali, na amekuwa jukwaani kwa siku nyingi.
Mshana Jr ni mjuzi wa siasa, soka, magari, uchawi, ulozi, mapenzi, mambo ya kimataifa nk.
Mshana Jr na Bujibuji Simba Nyamaume wanaendana sana, ila buji kajaa sana utani na vichekesho.
Mshana Jr ndiye mchangiaji bora wa muda wote. Amebeba sifa hizo kutoka kwenye majukwaa matatu tofauti.
Mshana Jr ndiye mtu aliyekutana na members wengi zaidi wa JF, wanaume kwa wanawake.
Huyu ndiye Mshana Jr wa kichwani mwangu
Nitakutafuta baadae mkuu.Nafurahi kama Uko mzima kaka…same here kaka
[emoji2][emoji2][emoji2]Naunga mkono hoja,
Ni hivi majuzi tu nilimuona Mshana akiwapa ushindi wa mchongo timu ambayo mtoa mada alikuwepo kwenye Bonanza la kazini kwao.
Usemacho ni kweli, jamaa anadeserve na ndiye aliyesababisha nirudi tena JF tokana na madini yake hata kama watamponda humu ila kisiri siri na kimoyo moyo wanamkubali.Ana nyota kali sana ankoli wako huyo
Thanks brother[emoji173]Usemacho ni kweli, jamaa anadeserve na ndiye aliyesababisha nirudi tena JF tokana na madini yake hata kama watamponda humu ila kisiri siri na kimoyo moyo wanamkubali.
PM yako umeifunga?Thanks brother[emoji173]
Karibu iko waziPM yako umeifunga?
😀😀Una nn lakin😂😂Na haka kamvua haka..