Mshana Jr. ndiye mwanaume mwenye mvuto kuliko wote JamiiForums

mpwayungu village anamzidi Mshana Jr Kwa viiingi saaana
 
Kwenye mapenzi hapo nifafanulie kidogo mrembo jemima☺☺ umejuaje?
 
......inawezekana hawa washindi walilipwa mamilioni kama ya kina Idris, manake sio kwa hali hii.......by the way hongera brother sifa hizi haziji bure hata kama watu watabeza na kukejeli, ukizingatia kwamba mtoa hoja ni wa kike, basi kila mtu atasema lake......kikubwa ndugu zangu tujifunze kuwa watu wenye michango chanya na yenye tija kwenye jamii kama wenzetu kina Mshana Jr, am sure huyu Jamaa atakuwa pia ni mtu anaekubalika watu hata nje ya jf i.e ofisini kwake, mtaani na hata ktk familia yake, once again hongereni washindi wote wa tuzo za jf ......kuanzia kesho na mimi naanza kuwa mwenye mvuto ili nipendwe na Jemima na wenzake.......
 
Achana na Mshana Jr wewe! Huyo mimi namfahamu. Ataishia tu kukupiga kisimo na zongo. Halafu isitoshe ana itikadi za kichadema na ni shabiki wa timu mbovu kama simba!

Nishabikie mimi basi ili nikununulie Range Rover nyekundu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…