Mshituko:! Wabunge na Maseneta wateule kutoka vyama mbalimbali waanza kuunga juhudi chama tawala (UDA)

Mshituko:! Wabunge na Maseneta wateule kutoka vyama mbalimbali waanza kuunga juhudi chama tawala (UDA)

Kuna 15 wa Jubilee wako njiani pia. Wenye akili wameshaona hakuna Kitu Raila/Kenyatta ata deliver
 
Sijapanic, ila sipendi mambo ya kipumbavu.
Hupendi upumbavu kuambiwa kuhusu matozo ya watu wenu wa CCM...

Halafu rudi kule mkajadili mambo yenu ya matozo na ishu zingine za kishenzi huko Tanzania.. tokeni huku waachieni wakenya mambo yao...

Yaani ya bongo yanawashinda mnakimbilia huku Kenya? Kenge wewe haya haraka sana kimbia mrudi kwenu CHAWA nyie nikikuona huku ntakuwamba makofi.
 
Hupendi upumbavu kuambiwa kuhusu matozo ya watu wenu wa CCM...

Halafu rudi kule mkajadili mambo yenu ya matozo na ishu zingine za kishenzi huko Tanzania.. tokeni huku waachieni wakenya mambo yao...

Yaani ya bongo yanawashinda mnakimbilia huku Kenya? Kenge wewe haya haraka sana kimbia mrudi kwenu CHAWA nyie nikikuona huku ntakuwamba makofi.
Kwa nini unaanza kunaandika insha?
 
Hakuna MTU mwenye uelewa abaki ndani ya mtumbwi unaozama! Piga ua sidhani kama Raila ana ubavu wa kwenda
 
UDA sio chama tawala mleta mada Mpanda nyangobe. Ila ni kati ya vyama ambavyo vipo ndani ya muungano wa Kenya Kwanza. Rekebisha kichwa cha uzi wako jombaa.
 
Nadhani unapaswa kuachana na huu ubishi ili kujitofautisha na mwenye uwezo mdogo. Si mada hii Tu, nimemuona hata katika mada nyingine unayebishana naye ana uwezo mdogo mno msamehe.
Najielewa sana labda kama nawewe utakua CCM kama mleta mada au umekuja na ID nyongine kujiodha. Popote ninapomwona huyu chawa huwa namtandika tuuu.
 
Until the day when the majority will realize politicians represents just their bellies, we will not develop as a humankind..., In should they should not be trusted especially this day and age...
 
Back
Top Bottom