Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Bora wewe umeona. Ni balaa si ya nchi hii. Ndoa inatakiwa kuingiwa na walioisha tulia, awe mwanaume au mwanamke
 
Tatizo ataanza kuchapwa akiwa katika ndoa mpaka achoke ndipo atatulia. Lipi bora, upate aliyetulia au atakayekuhangaisha katika ndoa
Kwanza ndugu yangu kumbuka ya kwamba hamna mbususu yako peke yako....ni wakati wako tuu.
Hivyo basi tuachane na haya mambo ya wivu juu ya mbususu
 
Sijawah muomba msamaha baada ya yeye kuondoka home.
Sijawah mpigia simu wala kutuma ujume mfupi hata sasa ninavyoandika hapa.
nilisitisha mawasiliano nae, hato niliyafanya kabla hajaondoka home
- nikapelekwa gender desk police kuwa nimetelekeza na situnzi familia na mimi ni mnyanyasaji, nikapangua mashtaka kwa hoja na vielelezo, kesi kule ikamgeukia yeye, hata hivyo nikamuomba radhi na kumsihi tuyamalize, akagoma kabisaa. Hakuridhika

Mara nyingine ukioa usiseme nisamehe mke wangu sema yameisha na usiseme kwa unyenyekevu.Kujishusha kwa mwanamke yeye hukushusha zaidi mwanamke kama anania ya kukuacha hata uombe msamaha unalia na kugalagala bado atakuona boya tu.Mwanamke mwenye nia ya kuwa nawe hata usipoomba msamaha yataisha tu.

Nadhani hdi sasa jibu unalo pamoja na kuomba kwako msamaha bado hajakusamehe.Sema mkuu huna aibu kusimulia hiki kisa maana inaonekan hapa duniani hakuna mwanamke mwingine kama mke wako.Swala la kukutukania mzee wako alipaswa asiwe na meno hata 4 halafu unachimba unatokomea si watoto anao shida yako iko wapi? Umemuabisha sana mzee.
 
Mleta mada amekuwa dhaifu sana kwa mkewe. Huyo mama anajua udhaifu wako ndio ameona akuchapie hapo hapo.

Kingine, nasikia wanawake wa kinyakyusa sio poa. Pole sana!
 
tafuta mwanasheria akusaidie acha kuwa mjinga utafungwa kweli ukifanya mchezo

Kama ndoa haiwezekani si kuachana kwa amani ya nini kusumbuana tena
 
Ahahah.
Sawa ,suala lankuwa na aibu inategemeana na vitu vingi. Mimi ni muwazi, utakavyonielewa wewe sasa hilo haliko ndani ya uwezo wangu
 
Hakika mwanamke kama anania ya kuishi nawewe hata kama usipo omba msamaha bado atakuwa nawewe maana wanawake wote wanajua kuwa mwanaume kamili haombi msamaha hata kama umfumanie live.Hata ukiomba msamaha kama hana nia ya kuishi nawewe haitasaidia kitu.

Jamaa atasumbuliwa sana hata akioa yule manzi atakuwa anakuja kufanya vurugu pale maana anajua fika maamzi ya jamaa sio ya kiume.Kuna tofauti kubwa sana kati ya kulipiza na kufanya maamzi.

Kuna muda mwanaume ufanye maamzi magumu hata kama yatakuacha na maumivu makali ni sawa maana hayatadumu yataisha na kusonga mbele sio unakubali kulala ovyo kama popo tena kwa gharama kisa uzembe tu wa kutokufanya maamzi mapema.
 
Mleta mada amekuwa dhaifu sana kwa mkewe. Huyo mama anajua udhaifu wako ndio ameona akuchapie hapo hapo.

Kingine, nasikia wanawake wa kinyakyusa sio poa. Pole sana!
NI kwel kamanda, japo mi sio dhaifu, ila napendelea zaidi peaceful means katika kutatua changamoto.
 
NI kwel kamanda, japo mi sio dhaifu, ila napendelea zaidi peaceful means katika kutatua changamoto.
Mchukulie mtu vile anavyokuja, dunia ya sasa haina huruma. Kitendo cha mama watoto kuondoka na documents za muhimu ni ishara tosha kuwa ana jambo baya anataka kufanya, undugu na urafiki unafia hapo.

Angalia welfare yako na hao madogo, yeye ameshakuwa adui yako, huna namna unaweza kumrudisha kwenye line tena.
 
Tafta kwanza ule wimbo wa Banana Zorro unaitwa Zoba, sikiliza huo kisha uje hapa tuzungumze kiume sasa
 
Nakubaliana na wewe mkuu
 
Kuna kitu umetuficha. Huo ubaya ubwela wa mkeo aliuanza baada ya wewe kumfanyia nini?
 
Acha hicho kisasi kwa ajili ya Roho yako na ya watoto wako. Chochote utakachomfunga nacho kitahamia kwa watoto wako uliozaa nae. Tafuta wakili lazimisha kesi iende mahakamani. Vitu amevipata kwa ulaghai so wakili anaweza kuvidicredit mahakani. Pia fungua shauri la kuibiwa document kama zipo kwa jina lako. Ameiba document za umiliki wa nyumba, gari na vitu vya ndani. Tumia sheria hiyo hiyo kumkomesha. Nahiyo hati ya talaka ruhusu itoke. Hawezi kuishi na wewe tena. Usiharibu sifa yako njema mbele za Mungu kisa mwanamke.
 
Kwanza ndugu yangu kumbuka ya kwamba hamna mbususu yako peke yako....ni wakati wako tuu.
Hivyo basi tuachane na haya mambo ya wivu juu ya mbususu
Tatizo siyo wivu wa mbususu bali madhara ya mwanamke kuitoa nje. Kuna utofauti mkubwa kati ya mwanaume na mwanamke wakichepuka. Mke akichepuka anaenda mzima mzima. Kwa vile wanawake huwa hawana tamaa bali hupenda. Na anayechepuka naye ndiye dereva wake. Ona madhara ya uchepukaji wa mke wa Fanton Mahal . Issue siyo wivu wa K bali madhara yatokanayo na uchepukaji. Miaka 15 si mchezo
 
Mwenzako yuko smart, kumbe bado mpaka sasa hujaweza kusoma process za diverce pamoja na Tanzania divorce proceeding laws. Please rejea vifungu vya sheria ya divorce vimeelezwa vizuri sana humuhumu ndani ya jamii forum tena kwa ustadi wa hali ya juu kuliko documents nyingi nilizosoma;Waandishi wamesummarize vizuri sana, tena sana, tatizo wengi tunasoma topics za mapenzi , udaku , mipira n.k.

Hoja yangu ni mara nyingi sisi wanaume tuna huruma sana, halafu tunadhania kwamba ni hasira au amechanganyikiwa, wanawake wakireact namma hiyo wamedhamilia, tena wanaweza kujifanya chizi ili kuwapumbaza kumbe mwenzako ndiyo hivyo anakusambaratisha chali, taratibuuuuuuu.

Huyu mke wako youko smart kuliko unavyofikiri, tena inawezekana kapata washauri wanaojua sheria, unasema anataka divorce lakini bado hajatender divorce mahakamani. Lazima ujue kuwa huwezi kutenda divorce mahakamani bila kuwa na maandishi ya Ward Marriage Reconciliation Board (WMRB) au mabaraza ya kanisa, Ile kamati ya usuruhisho ya kata, ile aliyokupeleka wakamzingua. Sasa atakuwa anatafuta plan B husifikiri amekata tamaa.

Naunga mkono hoja ya kukaa kimya, endelea na shughuli zako ila husilizike, ningekuwa mimi ningeenda kwenye kata nikaaomba wajumbe watoe kibali cha taraka , muende mahakamani kila mtu apewe chake muachane kwa amani ili wewe uendelee na pilikapilika zako, kwa sasa wewe umefungwa physically and physchologically.Fanya hima hujitoe kwenye kifungo , uwe huru bro.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…