Am_tunnechi
JF-Expert Member
- Nov 12, 2022
- 1,060
- 1,956
Mimi ndo huyo rafiki yake. Kwa sababu huyu rafiki yangu kaamua kuwa dhaifu acha lolote limkute.Mwambie rafiki yako aache mambo ya Wanga.
Kisasi kizuri ni karma.
Hichi ndio nimekiamua kwasasa, nijue anachotaka, nimpe aendePole sana muache for good,hizo juju hazisaidii bro
Ni ngumu ila ni bora
Mkuu usitietie huruma utadhani Mrembo mzuri anaeuza ....,Dahhh..utumbo ni kwel kamanda
Akizubaa anatangulizwa yeye, unice umemzidia jamaa mpaka kiburi ya mkewe inazidi kuongezeka. Kadri unavyozidi kujishusha na kumbembeleza ke ndio kiburi yake inapanda kwa level hiyo hiyo.ukiwa vitani usimuonee huruma adui
Usemayo ni kweli, mama mmoja, mze wa baraza alimtamkia maneno kama haya, kuwa ameruka stage, anataman kurud hukoKumbe kakuzidi umri, ndo maana anaumia kupigwa na mdogo ake....na kama kakuzidi na kipato ndo bhaaaasss.
Ushauri, we endelea kutulia, wakati utakujibia.....mwenda tezi na omo marejeo ngamani....atarudi.
Wife wako aliruka stage, hakudanga, hajawahi kudanganywa.....kafika chuo mmeanza kuzaa.....sasa kamaliza uzazi anajiona kavunja ungo upya....
So atarudi, hakuna wa kumlelea watoto wanne kwa mapenzi, kama wewe ndo una haki atarudi, Novemba sio mbali, mpe miezi 6 tu yatachuja huko anakopewa bichwa.
Ila akirudi msisahau kupima damu.
Usicheke Mamii, haya mambo yapo ujueNimecheka kwa sauti kubwa 😅😅😅😅😅😅 Fanton Mahal
Wewe tayari umeshalogwa. Kama babako anatukanwa na unaona sawa basi wewe umeshamalizwa. Huyo manzi atakufanyia kitu mbaya zaidi. Kwa familia yangu baba angemalizana na huyo mwanamke mapema sana kwa njia za kiutamaduni mara baada ya kutukanwa.Sio kwamba sitaki kumuacha, nilikua nafikiri ni hasira tu hapo mwanzo ndio maana nikawa natafuta suluhu. Ila sio kwamba ninamganda, ndio maana alipoondoka sikujisumbua kumtafuta, na alipoona nimekaa kimya ndioa akaanza kunipeleka kwenye vyombo vya sheria.
Chaajabu ni kwamba anataka taraka lakini hajapeleka shauri la talaka mahakaman mpaka sasa
Uzi ufungweMkuu mwanamke akishaishiwa hisia kwako ni zaidi ya mnyama.
Na bila shaka anakazwa nje, hilo halina ubishi.
Hapo wewe vaa uso wa mbuzi, mpe separation anayoidai huku ukitabasamu, ili uwe huru uendelee kutafuta maisha.
Unavyozidi kuonyesha bado unamuhitaji unampa nguvu kubwa sana. Na ataitumia kukumaliza - wewe mwanaume huna any legal right / resolve kwenye ndoa, na ndio maana anatumia mkono wa sheria - polisi e.t.c kukumaliza.
Na wewe kukubali kuwa umemdhuru mwili ndio umejaa kwenye mfumo. Ungekana kwamba hujamgusa yasingefika huko. Ungesema kwamba kapigwa huko alikokuwa anachepuka.
NEVER ADMIT GUILT.
Solution: uliza swali moja, anataka nini kifanyike ili muende your separate ways? Then mpe anachokitaka legally ili na wewe upate share yako kidogo.
Usiulize kuhusu watoto wala nini. Wanakufahamu, watakutafuta.
Once her hold on you is gone hiyo ya kukufanya kila siku chache uende polisi, fanya maisha.
Ndoa ndoano.....acha apige yowe imtoke...🤣Imeisha hiyo....wewe umepiga yowe,ila wenzio pia kunafuka Moshi huko kwa ndoa mkuu
Hakuna namna, japo nimeshaamua kuachana nae tu for good, aende anapotakaSasa ndugu kaka braza kiongozi mlokole, huyo mwanamke mpuuzi laana kabisa mshenzi hayo yote aliyokufanyia na bado anaendelea kukufanyia hadi na familia yake nzima bado unaleta ujinga na huruma za kifalafala eti unaomba suluhisho mrudiane kweli?? Una akili timamu braza?? Ama umerogwa??
Embu kurupuka wacha ulokole na huruma za kijinga kwa watu wasiohitaji huruma yako.
Yeye si kalianzisha?? Sasa na wewe maliza show kibabe zaidi maana mnapoelekea atakuharibia maisha na kila kitu.
Wacha msela hapo afanye kazi yani ubaya ubwela huku mnagusa mnaachia mnapeleka moto kwa huyo jizi tapeli limwanamke lakumaliza kabisa hilo shenzi zake.
Hallelujah!!!
Kwa jinsi uzi wake ulivyo, huyu mwamba yupo tayari hata kuuawa ilimradi mkewe awe na furaha tu.Kwa hapo alipofikia huyu mkeo anaweza kukufanya kitu chochote kibaya hata kukuua......kuwa makini.
ukiwa vitani usimuonee huruma adui
Ushauri makini sana aufuate, watoto isiwe sababu ya yeye kuendelea kupalilia jambo ambalo linahatarisha maisha yake.Mkuu mwanamke akishaishiwa hisia kwako ni zaidi ya mnyama.
Na bila shaka anakazwa nje, hilo halina ubishi.
Hapo wewe vaa uso wa mbuzi, mpe separation anayoidai huku ukitabasamu, ili uwe huru uendelee kutafuta maisha.
Unavyozidi kuonyesha bado unamuhitaji unampa nguvu kubwa sana. Na ataitumia kukumaliza - wewe mwanaume huna any legal right / resolve kwenye ndoa, na ndio maana anatumia mkono wa sheria - polisi e.t.c kukumaliza.
Na wewe kukubali kuwa umemdhuru mwili ndio umejaa kwenye mfumo. Ungekana kwamba hujamgusa yasingefika huko. Ungesema kwamba kapigwa huko alikokuwa anachepuka.
NEVER ADMIT GUILT.
Solution: uliza swali moja, anataka nini kifanyike ili muende your separate ways? Then mpe anachokitaka legally ili na wewe upate share yako kidogo.
Usiulize kuhusu watoto wala nini. Wanakufahamu, watakutafuta.
Once her hold on you is gone hiyo ya kukufanya kila siku chache uende polisi, fanya maisha.
Shukrani sanaPole mkuu 🥲
Nimekumbuka kuna siku ulimsifia jinsi alivyoifinyia kwa ndani😂Hakuna namna, japo nimeshaamua kuachana nae tu for good, aende anapotaka
Nilisha hama, mwezi huu kwenda ku chill mwanza nihamishe harakat huko, alipo jua hilo ndio moto wa police ukaanza, nahisi hataki na mimi ni move onBinafsi nakupa pole ndugu yangu uchungu ulionao naona ni mkubwa sana kuliko haya maandishi uliyoyaandika!!!..
Mi sikaagi na demu muda mrefu sana! Lakn Kuna demu nimekaa nae almost six months mpaka nikaamua " anyway ngoja nitulie na mmoja maisha yaende"
Mwisho wa mwaka huu alipoenda kwao kusalimia alianza kuchange vibaya mnooo! Yaani Maumivu nayoyahis ni makali sana
Sasa mim just six months tuu napata such pain kwako wew nahisi ni zaidi sana
Ukiweza rjesha yule mchepuko wako wa kitambo akupe faraja kwasasa...
"kuhusu visa vyake ningeshauri utafute sehemu ya Mbali ukakae, badilisha namba ya simu ishi as if u don't exist"
Kazini Kama unaweza omba uhamishe ukakae Mbali nae! Usipofanya hivyo atakodi hata watu wakudhuru