Mshtuko: Mwanaume hata uishi Miaka Mingi kiasi gani lakini Utakufa na Utamwacha Mkeo akiwa Hai

Punguzeni complications za maisha zinawaumiza vichwa. Mnawaza dunia ni yenu, nyie ndo mna akili wanawake wanapaswa wafuate maelekezo yenu yote, mnatakiwa mpewe heshima na kila kiumbe, mnatakiwa muabudiwe na hela muwe nazo ninyi ikitokea tofauti
mnapata stress.
Punguzeni mambo mengi ya chini kwa chini ambayo hamuwezi share na wake zenu mnafikiri zenu
zenu mnafikiri ndo uanaume
 
Lazima wanaume wafe kabla ya wake zao(wengi na si wote)kwa sababu:-
-wanaume huoa wakiwa na umri mkubwa (5-30 yrs)ukilinganisha na wanawake,
-kazi nyingi,ngumu na hatari hufanywa na wanaume,
-wanaume hujielekeza kwenye matendo na maisha yenye kuhatarisha na kufupisha maisha yao kinyume na wanawake(kunguru)ambao hukimbiza mbawa zao.Huhusisha hadi namna ya kula,kunywa na matumizi makubwa ya nguvu kiakili.
 
Kuna wanawake wanafanya mengi sana. Unakuta bibi ana wajukuu, analima, anafuga, anachota maji mbali tu ila anaishi miaka ya kutosha
 
Inawezekana ni nature tu inabalance mambo.

Unakuta Mwanaume at 50-60 hawezi ishi mwenyewe atataka mke, tofauti na mwanamke anapambana mwenyewe tena unakuta na wajukuu katupiwa hapo.

Imagine single mother wote hawa wafe mapema waache watoto ambao baba zao walishakimbia majukumu.
 
Kuna wanawake wanafanya mengi sana. Unakuta bibi ana wajukuu, analima, anafuga, anachota maji mbali tu ila anaishi miaka ya kutosha
lakini pia wapo wanaume wanishi miaka mia, kwa hiyo hii tunaangalia kipi kinatokea kwa kiasi kikubwa lakini sio lazima itokee kwa wote
 
Uzuri na kuwa hata wanaoacha wake wana Mali na amadaraka na Heshima kubwa.

Kabda useme sababu nyingine
 
Mmmh unanirudisha shule eeh!!!
They love their families...
They protect and take care of their families...
And hawa complain kuhusu pesa...ila wanatafuta means za kupata more pesa .πŸ˜„
Mmh Mama Mwajuma kweli? Anyayws tukubali tu mawazo yako.
 
Mmmh unanirudisha shule eeh!!!
They love their families...
They protect and take care of their families...
And hawa complain kuhusu pesa...ila wanatafuta means za kupata more pesa .πŸ˜„
Ila Mwisho wao hua mfupi 50 hii hapa Kisukari hiki hapa hajakaa vizuri tezi Dume hii hapa anaenda kupigwa kidole kuwekwa Sawa hajakaa vizuri presha hii hapa hapo katika 70 hajakaa vizuri homa ya mapafu hii hapa hajakaa vizuri Mwanaume hafiki mbali

Bibi yangu anaishi huu Mwaka wake wa 30 bila Babu Ila Bibi bado yupo mpaka leo na nahisi amezaliwa 1890 huko Ila mpaka leo bado yupo
 
Bibi yangu anaishi huu Mwaka wake wa 30 bila Babu Ila Bibi bado yupo mpaka leo na nahisi amezaliwa 1890 huko Ila mpaka leo bado yupo maana hata Mwinyi huyu wa 1925 kwa Bibi yangu ni mdogo
Bibi yako ametisha sana
 
Another school of thought.

Nimependa ulivyofikiri kwa undani zaidi. Thank you
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…