Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Kuwa na kifua ndo maana halisi ya uanaume
Kifua chenu ndio kinachowawahisha kaburini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na kifua ndo maana halisi ya uanaume
SawaLazima wanaume wafe kabla ya wake zao(wengi na si wote)kwa sababu:-
-wanaume huoa wakiwa na umri mkubwa (5-30 yrs)ukilinganisha na wanawake,
-kazi nyingi,ngumu na hatari hufanywa na wanaume,
-wanaume hujielekeza kwenye matendo na maisha yenye kuhatarisha na kufupisha maisha yao kinyume na wanawake(kunguru)ambao hukimbiza mbawa zao.Huhusisha hadi namna ya kula,kunywa na matumizi makubwa ya nguvu kiakili.
Acha kabisa Ila ndio hivyo ukifika umri huo ni Gari la Mkaa trip shamba trip garage,Anakula maisha mdogo mdogo kwa Uji na Mchuzi tu.
Kwani vifua tumepewa na nani?Kifua chenu ndio kinachowawahisha kaburini
Nan atatetea wanaume ?Dunia ishampa majukumu mwanaume.
HahhaaaAcha kabisa Ila ndio hivyo ukifika umri huo ni Gari la Mkaa trip shamba trip garage,
I think wanawakeIla Mwisho wao hua mfupi 50 hii hapa Kisukari hiki hapa hajakaa vizuri tezi Dume hii hapa anaenda kupigwa kidole kuwekwa Sawa hajakaa vizuri presha hii hapa hapo katika 70 hajakaa vizuri homa ya mapafu hii hapa hajakaa vizuri Mwanaume hafiki mbali
Bibi yangu anaishi huu Mwaka wake wa 30 bila Babu Ila Bibi bado yupo mpaka leo na nahisi amezaliwa 1890 huko Ila mpaka leo bado yupo
Msizibebe kwasababu hatujawahi kuwaomba mtubebeeSababu tunazibeba sumu zenu
Bora nife kwa kweli kuliko kusema napigwa na mke wangu.Wanaume mnakufa haraka sababu ya kuweka mambo mengi moyoni
Hebu anzeni kuzungumza yanayowasibu muone mtakavyoishi...wewe hata mke wako akikupiga sema
Khaa nianze kulia lia hadi ofsini kama mnavyofanyaga?
IDKKwani vifua tumepewa na nani?
🤣🤣🤣Bora nife kwa kweli kuliko kusema napigwa na mke wangu.
Yaani nidharaulike bado niko hai?
Yes of course, Ila hamuwezi kuzuia wasife kufa lazima wafe maana it's a law of nature nyinyi muishi Sisi tufeI think wanawake
We are responsible for our men health!!!
We need to take care of them. Tuwapunguzie stress....ila only if....watatoa ushirikiano.
Ndio nini Joanah?
Hahahaaaa.....unaona bora ukadhalilikie Akhera?Bora nife kwa kweli kuliko kusema napigwa na mke wangu.
Yaani nidharaulike bado niko hai?
I Don't Know (IDK)Ndio nini Joanah?
Hatuzipendi ni basi tu kwa sababu ndio chanzo cha vifo vyetu Bora kusikiliza kelele za bar kuliko kelele za mke.Msizibebe kwasababu hatujawahi kuwaomba mtubebee
Maria Nyerere
Siti & Hadija Mwinyi
Janeth Magufuli
Mama Lowasa
Mke Kingunge Ngomable Mwiru
Kuna ukweli..
Tungekuwa tunadandia tuu kama kuku bila maswali ya kuomba hela tungeishi sawa sawa tuu.Msizibebe kwasababu hatujawahi kuwaomba mtubebee
DuuhI Don't Know (IDK)