StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Changamsha genge hii.Leo kombe la dunia linaanza. Nawatahadharisha msiangalie. Ni mbinu za shetani kupitia Freemason kuwaingiza mkenge. Chukueni hii tahadhari seriously kuepukana na sintomfaham siku ya kiyama.
Sijui wengi kwanini huwa ni clueless kujua azma ya waanzisha baadhi ya nyuzi.Lengo la mleta uzi ni kuwapata wazee wa kupanic naona umepatikana🤣
kama nakuelewa kwa jicho la tatu [emoji1787][emoji1787]Leo kombe la dunia linaanza. Nawatahadharisha msiangalie. Ni mbinu za shetani kupitia Freemason kuwaingiza mkenge. Chukueni hii tahadhari seriously kuepukana na sintomfaham siku ya kiyama.
nahisi hujamuelewa mtoa madaStress Challenger punguza stress [emoji3] mpaka mkeo utamuona ni free mason
mtafisiri upya utajua alichomaanishaWavaa kobazi bana utawajua tu, wewe Qatar wavaa kobazi mahili wamekubali kombe la dunia wewe nani hadi upinge
arabika na RobustaNi mbegu gani nzuri ya mahindi huku kwenye ukanda wa ziwa???
Kafie mbele hukoIdadi ya wachezaji katika timu Moja ni 11, na hiyo namba ni muhimu sana kwa jumuiya ya Ki- freemason, Kuna uhusiano gani? Ndio maana mpira una umaarufu duniani.
wavaa kobazi wali kubikiri akapata mimba nawaka goma kukuoa mke wapili nini?Mana kila hoja lazima uwataje
Bro watu wamejaa sress za mapenzi wamepigwa vibuti, wengine hajira hakuna, wengine wagonjwa, wengine basi tu vichwa panzi🤣🤣🤣🤣Sijui wengi kwanini huwa ni clueless kujua azma ya waanzisha baadhi ya nyuzi.
Jamaa kaja kuchangamsha genge kuna watu wanatapika nyongo. Kazi kwelikweli!
hata maana yaunafki huijui. unajikanyagatu huna maelezo yalio nyooka."Imani bila matendo imekufa" kama matendo yako hayaakisi wema mbele za Mungu na hata Binadamu wenzio ni heri tu uanze mapema kutubu hiyo dhambi na kumwomba Mungu akurehemu ili uishi jinsi anavyopaswa kuishi Mcha Mungu.
Moja ya tabia isiyoakisi tabia za Mungu ni chuki kwa Binadamu mwenzio unayemwona ilihali unampenda Mungu asiyeonekana isipokuwa kwa imani tu, huo ni unafki ambao hata shetani anakushangaa...[emoji16]
kwanza fafanua maana yamvaa kobazi ni nini.Mkuundugu yangu na wewe ni mvaa kobazi?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umeisahau Jamii Forums.
unatutahadharisha ili ufaidi peke yako? acha mambo ya ulodilofaLeo kombe la dunia linaanza. Nawatahadharisha msiangalie. Ni mbinu za shetani kupitia Freemason kuwaingiza mkenge. Chukueni hii tahadhari seriously kuepukana na sintomfaham siku ya kiyama.
[emoji3][emoji3]wakati huo huo umetumia internet inayotumiwa na freemasons kutupa habariPia Freemason wanawaingiza mkenge bila kujijua kupitia whatsapp, Twitter, paypal, mastercard, western union, crypto currency, KFC, McDonald's, Emirates, Lufthansa, Qatar airways, tinder, ebay, Amazon, Microsoft, Western Union, Mpesa, EPL, UEFA, Pepsi, coca-cola, NBA, Nike, puma, Addidas, Disney, WarnerBroz, Hollywood, LGBT, women rights, internet,Tesla, Nasa
Kumbe magari ni haramu? Sikuwahi kujua aiseeHata kipindi kile Yesu alijua kuna magari ya kukokotwa na punda ambayo wafalme na matajiri ndio walikua wanayatumia, na ukuu wake wooooote na ufalme wake woooote aliagiza PUNDA TU, ndipo alipo haramisha magari hapi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]